Let us wait and see, huenda ikawa siasa za njozi. Maana mara nyingi matamshi ya viongozi wetu hawa badala ya kupeleka maamuzi ya chama mtu anapopata nafasi ya kuongea anasema kile anachofikiria bila hata kuangalia mapokeo yake kwa wananchi yatakuwaje.
We are now used to such statements. Kauli hizi katika hali ya kawaida bado zinamitazamo ya kijima-jima vile, bado wanaozitoa wanadhani wananchi bado wapo katika enzi hizo.