Chama cha ACT-Wazalendo taabani fedha za kampeni

Chama cha ACT-Wazalendo taabani fedha za kampeni

tutaanza kutilia mashaka hata elimu yako..
kwani hii ndo itakuwa fundrising yao ya kwanza?? kwani hawakuwah kufanya fund rising hapo kabla??

Sio fundraising ya kwanza. Lkn hii inafanyika baada ya deal kubuma kule CCM. Soma andiko vzr mkuu. Ilikuwa itolewe milioni 800 awamu ya kwanza; na milioni 800 iliyobaki awamu ya pili. Sasa hivi nimeshapata kiasi ambacho wamepewa mpaka sasa. Nitakuja na bandiko lake kabisa tofauti na hili. Kuna mambo mengine ambayo tunaendelea kuyapanga kwenye vikao leo hii nitawajuza. Stay tuned.

Kaptula La Marx (Now Jikoni ndani ya ACT-WAZALENDO & CCM kwa kazi maalum)
 
Sio fundraising ya kwanza. Lkn hii inafanyika baada ya deal kubuma kule CCM. Soma andiko vzr mkuu. Ilikuwa itolewe milioni 800 awamu ya kwanza; na milioni 800 iliyobaki awamu ya pili. Sasa hivi nimeshapata kiasi ambacho wamepewa mpaka sasa. Nitakuja na bandiko lake kabisa tofauti na hili. Kuna mambo mengine ambayo tunaendelea kuyapanga kwenye vikao leo hii nitawajuza. Stay tuned.

Kaptula La Marx (Now Jikoni ndani ya ACT-WAZALENDO & CCM kwa kazi maalum)

Wew kwny maelezo yako ya awali si ndo umedai walitakiwa wafanye toka mwanzo fundrising??!
by tha way hujatushawishi bado.
Kajipange upya
 
Wew kwny maelezo yako ya awali si ndo umedai walitakiwa wafanye toka mwanzo fundrising??!
by tha way hujatushawishi bado.
Kajipange upya

Subiri sindano iwaingie vizuri ndio mtajua mimi ni nani. Wewe ndio kajipange upya. Umerukaruka na kukurupuka kusoma. Niko imara na kazi yng ndani ya ACT-WAZALENDO na CCM ninaifanya kwa ufanisi mkubwa. Wao walishauriwa tu wafanye fundraising mapema lakini wakashupaza shingo kwa kutegemea hela za usaliti kutoka CCM. Sasa tatizo liko wapi? Km hujashawishika sawa, ila subiri nondo nyingine zinakuja. Pia, subiri tar.2/10/2015 km hakutakuwa na fundrising hiyo. Hii bado haijatangazwa kokote, ndio mara ya kwanza. Labda waamue kubadilisha tarehe baada ya andiko hili. Lkn fundraising ipo na inakuja. Km watabadilisha tarehe nitakuwa wa kwanza kuwajuza. Popote walipo ACT & CCM na mimi nipo
 
wale twaweza wamekipa 0% yaani na yule Mwigamba akasema utafiti upo sawa
 
wale twaweza wamekipa 0% yaani na yule Mwigamba akasema utafiti upo sawa

ACT na CCM lengo lao ni moja. CCM wanachotafuta ni kuendelea kutawala, ACT lengo lao ni kuchukua nafasi ya CHADEMA km chama kikuu cha upinzani. Ndio maana uliona hata Profesa wao anayejiita mshauri wa chama naye alikuwepo wakati matokeo yale yanatangazwa. Kingine, ambacho watu hawajui vizuri, yule profesa wa ACT-WAZALENDO ni mmojawapo katika ile timu iliyoandaa matokeo ya kupikwa. Kuna andiko nitakuja nalo bado ninaliandaa. Nitaeleza mkanda wote jinsi ilivyokuwa mpaka kufanikisha mpango huo haramu
 
ACT na CCM lengo lao ni moja. CCM wanachotafuta ni kuendelea kutawala, ACT lengo lao ni kuchukua nafasi ya CHADEMA km chama kikuu cha upinzani. Ndio maana uliona hata Profesa wao anayejiita mshauri wa chama naye alikuwepo wakati matokeo yale yanatangazwa. Kingine, ambacho watu hawajui vizuri, yule profesa wa ACT-WAZALENDO ni mmojawapo katika ile timu iliyoandaa matokeo ya kupikwa. Kuna andiko nitakuja nalo bado ninaliandaa. Nitaeleza mkanda wote jinsi ilivyokuwa mpaka kufanikisha mpango huo haramu

Nasubiria hilo bandiko mkuu.
 
Waende mahakamani kushtaki zulmati ya hiyo mil 800..au wafanyeje sasa. ?
 
Kama watu hawaamini walete ushahidi ili kukanusha haya niliyoandika. Lakini mimi nakuhakikishia kuwa haya niliyoyasema ni uhakika 100%. Niko jikoni kabisa, najua kila kitu. Niko CCM na ACT-WAZALENDO kwa kazi maalum kama hivi ninavyowajuza.


Hii sasa kali kiongozi. Yaani wewe mwenyewe kwenye andiko lako hakuna hata nukta ya ushahidi halafu unataka anayebisha alete ushahidi!! Ushahidi dhidi ya nini sasa?
 
Hii sasa kali kiongozi. Yaani wewe mwenyewe kwenye andiko lako hakuna hata nukta ya ushahidi halafu unataka anayebisha alete ushahidi!! Ushahidi dhidi ya nini sasa?

Subiri mkuu, nondo zinakuja. Umeona leo ACT na waandishi wa habari? Subiri, Tanzania mpya inakuja
 
ACT na CCM lengo lao ni moja. CCM wanachotafuta ni kuendelea kutawala, ACT lengo lao ni kuchukua nafasi ya CHADEMA km chama kikuu cha upinzani. Ndio maana uliona hata Profesa wao anayejiita mshauri wa chama naye alikuwepo wakati matokeo yale yanatangazwa. Kingine, ambacho watu hawajui vizuri, yule profesa wa ACT-WAZALENDO ni mmojawapo katika ile timu iliyoandaa matokeo ya kupikwa. Kuna andiko nitakuja nalo bado ninaliandaa. Nitaeleza mkanda wote jinsi ilivyokuwa mpaka kufanikisha mpango huo haramu

Andiko hilo nalisubiria kwa shauku.
 
Back
Top Bottom