Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,718
Huyu alisema hakuna uchawi. Sasa anasema nini?
Ukiwa nje lazima uwe sawa
Ukiwa ndani huoni kitu
Ova
😀 😀 😀 😀 Michawi kwenye utawala inapenda sana.Tangu enzi za kina farao.Ina maana mama alimroga mtu?😎
Kwa kauli zake keshajimaliza#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
Zaidi, soma:
Thread 'Chalamila akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba' CHALAMILA akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba
View attachment 2070979
Nayeye hatak kurudYaani huyo hata kama mama alikuwa anafikiria kumrudisha ndio basi amejichimbia kaburi
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
Zaidi, soma:
Thread 'Chalamila akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba' CHALAMILA akanusha uvumi ulioenea asema sitaki katiba mpya wala marekebisho ya katiba
View attachment 2070979
Karudishwa na kawekwa Dar es salaam.Yaani huyo hata kama mama alikuwa anafikiria kumrudisha ndio basi amejichimbia kaburi