Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,149
Aiseeeh, nafikiri huyu mzee anawapima aone anaweza kuwakasirisha kiasi gani.
Inakuwaje mkuu wa mkoa, anaongelea habari za wanaume kuhonga na kuwahamasisha wafanye hivyo kwenye kikao na watumishi wa Serikali?
Toeni neno moja kwake!
Full clip hii hapa:
View: https://youtu.be/gXZSmJw51wQ?si=dlD8cFUc6Mu-rGVV
Inakuwaje mkuu wa mkoa, anaongelea habari za wanaume kuhonga na kuwahamasisha wafanye hivyo kwenye kikao na watumishi wa Serikali?
Toeni neno moja kwake!
Full clip hii hapa:
View: https://youtu.be/gXZSmJw51wQ?si=dlD8cFUc6Mu-rGVV