Duuuh! Nilivyoona title tu nilidhani unamaanisha wale wajasiliamali wa Jolly club na Ohio st. Nikafungua fasta! Haya napita zangu naenda kula kwa mama zakaria mchemsho wa utumbo wa nguruwe.wakuu nilikuwa naomba kujua hapo mjengoni huwa ndo chakula cha hawa viongozi wetu kinapikiwa hapo au muda wa msosi ukifika hutoka nje na kwnda kwny hotel ya jirani?kwa aliyewahi kufika pale anijuze tafadhali