where in this country you got that Pics Man nakumbuka those 1980's jamani
Nilikuwa lazima nisome gazeti la Uhuru Kongwe ya CCM ni kucheki viponzo vya Chakubanga,
Nimfurahi sana kukiona duhh ama kweli nami ninge nunua kitabu chake kama hizo caartoons zake zote zikachpishwa kwa kitabu kimmoja