Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,574
- 1,996
nahic nimeingia darasa ambalo si la kwangu...
Nlifwata izo njia ilikubali ila nlizma nakutaka tumia tena inagoma.Usiteseke bure........
Download Poweramp unlocker
HAPA
N.B
1-kumbuka kudownload poweramp trial version kutoka play store ndo uinstall hii unlocker yake
2-Haiitaji kuroot simu yako usihangaike
Anza kula midundo mwanaJF
thanx, shatupiaNatangulia kusema hii ni kwa wenye simu ambazo zipo ROOTED
Kama simu yako umeshai ROOT
UPDATED:
KWANZA: Dawnload luck patcher hapa LUCKY PATCHER
PILI: Dawnload busybox hapa BUSYBOX
Haya sasa twende hatua kwa hatua
1. Dawnload poweramp trial kutoka playstore kisha ifungue nenda kwenye setting utaona hivi
![]()
2.Fungua Lucky patcher na utaiona poweramp ikiwa na huu ujumbe
![]()
3.ukiwa kwenye lucky patcher Iguse kwa sekunde kadhaa hiyo poweramp hadi uone hii menu imetokea chagua custom patch
![]()
4. Baada ya kuchagua custompatch vitatokea vipengele vitatu chagua kipengele cha tatu.
![]()
5. Yatakuja maelekezo kwa rangi ya njano ambayo tulisha yafanyia kazi hatua ya 1.
Wewe utachagua Apply
![]()
6.Subiri hadi lucky patcher imalize kuichakachua hiyo poweramp. Itakapo maliza utaona maandishi ya kijani utachagua Launch
![]()
7. Poweramp itafunguka nenda kwenye kipengele cha setting angalia kama imekuwa verified.
.![]()
8.Enjoy poweramp
Kwangu haiji custome patch mbona?thanx, shatupia
Mimi kwangu nikisha apply hainipi option ya Launch bt inanipa option ya OKNi kwa format zote za music na video. Itategemea umechagua iplay music kutoka kwenye folder gani.
Ahsante Mkuu naifaidi kinyama [emoji3]Usiteseke bure........
Download Poweramp unlocker
HAPA
N.B
1-kumbuka kudownload poweramp trial version kutoka play store ndo uinstall hii unlocker yake
2-Haiitaji kuroot simu yako usihangaike
Anza kula midundo mwanaJF
Hata mimi nimefanikiwaKama ulifanikiwa hongera.
Nisaidie mkuukitu kinapga kazi sana unataka na packs zake nyngne??
Kwangu inafanya kaziLakini mm kwa uzoefu wangu hizo key nilisha download sana lkn dk kadhaa inakataliwa.
Nikaona isiwe shida.
Ila kama wewe umefanikiwa basi fresh...
Jamani kuna app inauzwa nimeidownload kama wiki moja hv imepita, sasa hv imejifunga inataka niweke vadilization code of purchasing coz niliyokuwa natumia ni trialNatangulia kusema hii ni kwa wenye simu ambazo zipo ROOTED
Kama simu yako umeshai ROOT
UPDATED:
KWANZA: Dawnload luck patcher hapa LUCKY PATCHER
PILI: Dawnload busybox hapa BUSYBOX
Haya sasa twende hatua kwa hatua
1. Dawnload poweramp trial kutoka playstore kisha ifungue nenda kwenye setting utaona hivi
![]()
2.Fungua Lucky patcher na utaiona poweramp ikiwa na huu ujumbe
![]()
3.ukiwa kwenye lucky patcher Iguse kwa sekunde kadhaa hiyo poweramp hadi uone hii menu imetokea chagua custom patch
![]()
4. Baada ya kuchagua custompatch vitatokea vipengele vitatu chagua kipengele cha tatu.
![]()
5. Yatakuja maelekezo kwa rangi ya njano ambayo tulisha yafanyia kazi hatua ya 1.
Wewe utachagua Apply
![]()
6.Subiri hadi lucky patcher imalize kuichakachua hiyo poweramp. Itakapo maliza utaona maandishi ya kijani utachagua Launch
![]()
7. Poweramp itafunguka nenda kwenye kipengele cha setting angalia kama imekuwa verified.
.![]()
8.Enjoy poweramp
HIYO APP INAITWA eWeather HDJamani kuna app inauzwa nimeidownload kama wiki moja hv imepita, sasa hv imejifunga inataka niweke vadilization code of purchasing coz niliyokuwa natumia ni trial
NAOMBA MNISAIDIE NJIA YA KUICHAKACHUA KUONDOA HIYO VALIDATION CODE
[quote uid=310104 name="MZALENDO NO.1" post=17152600]Jamani kuna app inauzwa nimeidownload kama wiki moja hv imepita, sasa hv imejifunga inataka niweke vadilization code of purchasing coz niliyokuwa natumia ni trial<br /><br /><br />NAOMBA MNISAIDIE NJIA YA KUICHAKACHUA KUONDOA HIYO VALIDATION CODE[/QUOTE]<br />HIYO APP INAITWA eWeather HDHata mimi nimefanikiwa
Nampenda sana kumwacha nashindwa.
........habari za majukumu wana jf
Naombeni ushauri wenu wapendwa Nina mpenzi ambaye kwa sasa tuna miez sita mwanzo alionyesha kunipenda na kunijali sana na kunishirikisha mambo yake mengi sana na alipanga mwezi huu aje nyumban kujitambulisha na baadh ya ndgu zangu wanamfaham na ndgu zake wengi wananifaham, lkn kwa sasa naona kama amebadirika simu yake hataki niiguse nikishika anakuwa mkali na mda mwingine tukiwa wote anaenda kuongea na sm nje na ukimuuliza kwann anafanya hvo anaongea na nan anakuwa mkal lkn mm simu yangu anaichukua na kuipekua na sasa tumegombana hatuna maelewano kbsa hta mawasiliano yamepungua .
Je nifanye nn naombeni ushauri wenu.
Music player...naweza sema ndio the best player bila hii huwa sisikilizi music kabisa. Lazma muda wote iwepo kwenye simu ynguPoweramp ni nini?
ChakaNampenda sana kumwacha nashindwa.
........habari za majukumu wana jf
Naombeni ushauri wenu wapendwa Nina mpenzi ambaye kwa sasa tuna miez sita mwanzo alionyesha kunipenda na kunijali sana na kunishirikisha mambo yake mengi sana na alipanga mwezi huu aje nyumban kujitambulisha na baadh ya ndgu zangu wanamfaham na ndgu zake wengi wananifaham, lkn kwa sasa naona kama amebadirika simu yake hataki niiguse nikishika anakuwa mkali na mda mwingine tukiwa wote anaenda kuongea na sm nje na ukimuuliza kwann anafanya hvo anaongea na nan anakuwa mkal lkn mm simu yangu anaichukua na kuipekua na sasa tumegombana hatuna maelewano kbsa hta mawasiliano yamepungua .
Je nifanye nn naombeni ushauri wenu.