Chain Of Command: Dkt. Mpango hajui mipaka yake

Hicho cheo cha Makamu wa Rais ni cha kipuuzi but kipo kama Reserve tuu.

Hayo maagizo ni ya Rais na Waziri mkuu,yeye Kazi yake ni kuwakumbusha maneno ya Rais sio kutoa maagizo sijui maelekezo.

Rais Samia kipindi ni VP alikuwa akija ziarani haagizi unless aseme nimeelekezwa na Rais ,kama kuna jambo kaliona alikuwa anasema atalifikisha kwa Rais,sasa huyu wa sasa sijui Ana shida gani
Samia hata kwa sasa haagizi... Anaweza akashangaa jambo bila kutoa maagizo... Labda anamtuma makamu aagize kwa niaba yake, then aendelee ku keep sifa ya ustaarabu, usikivu na motherly figure
 
Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.

Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.

Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.

Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.

Afundwe huyu.

Suala la fedha alipewa siku ile ile alipoapishwa. Tumuache Mama afanye kazi yake. Ninaogopa sana yale makundi ya 2015 yanavyohangaika ili yajipatie nafasi
 
Labda mama anamuagiza mwenye nchi kwa chini amsaidie. Kila kiongozi na style yake mkuu. Nyerere alikuwa akimuagiza Kawawa halafu ambo yakiwa negative anamkana hadharani na Kawawa kwa utiifu wake hakuwahi mkosea Nyerere adabu hadi anastaafu.

Kawawa alpoagwa kustaafu utumishi wa umma Nyerere alitoa machhozi hadi akatamka" Kawawa asante sana ulibeba lawama zangu wewe miaka yote" Dr Mpango kwa utiifu wake na uadilifu wake anaweza akawa Kawawa wa SSH. KInyume chake atakuwa Lowassa wa Kikwete. Mabega hayajawahi kupanda .kuzidi kichaa.

Time will tell yeye ni nani. Bado mapema.
Sawas
portifolio Kikatiba VP anayo kwenye Mazingira na Muungano. VP hana Mamlaka yoyote kwenye Utendaji wa Serikali. Ni ceremonial position, Ni reserve, Ni spare ya Presidaa ikitokea (Mungu aepushe)
Naunga mkono hoja
 
Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.

Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.

Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.

Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.

Afundwe huyu.
Unaongea kama uliwahi kuwa Makamu wa Rais, ukastaafu na sasa umepumzika Kijijini!
 
Dah! kwahiyo likitokea la kutokea kwa Mama huyu Mpango ndio anakuwa amiri jeshi mkuu?
Ina maana anasubiri wachawi wafanye yao. Usikute ndio maombi yake. Dah hiki cheo sio wakitoe tu. Kuna watoto huwa wanamtazama dingi avute watumie mali, Il asio huyu jamani
 
Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.

Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.

Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.

Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.

Afundwe huyu.
Jomba wewe huelewi kaa kimyaa..mama Rais mwenyewe alitamka kuwa upande wa fedha kama alivyokuwa kabla ataendelea kusimamia masuala ya fedha kwa kuwa yeye ndio mtaalam na mzoefu..acha wivu jombaaaa...Rais anamtegemea sana upabde huo was mapato na matumizi..msimchukulie poa
 
Labda mama anamuagiza mwenye nchi kwa chini amsaidie. Kila kiongozi na style yake mkuu. Nyerere alikuwa akimuagiza Kawawa halafu ambo yakiwa negative anamkana hadharani na Kawawa kwa utiifu wake hakuwahi mkosea Nyerere adabu hadi anastaafu.

Kawawa alpoagwa kustaafu utumishi wa umma Nyerere alitoa machhozi hadi akatamka" Kawawa asante sana ulibeba lawama zangu wewe miaka yote" Dr Mpango kwa utiifu wake na uadilifu wake anaweza akawa Kawawa wa SSH. KInyume chake atakuwa Lowassa wa Kikwete. Mabega hayajawahi kupanda .kuzidi kichaa.

Time will tell yeye ni nani. Bado mapema.
Nyerere alisitaafu kabla ya Kawawa. Na si kweli kwamba Nyerere alikuwa anamgeuka Kawawa.

Mie nakumbuka Kawawa alikuwa mtani wa kila mtu. Tukiwa wadogo Kawawa alitaniwa kuwa ni kiongozi ambae hajasoma.
Pia alitaniwa wakienda Ulaya na Nyerere Kawawa ati alikuwa mshamba. Mfano utani mmoja wapo kuwa walienda Ulaya kule ukimaliza kunywa chai unafunika kikombe kuhashiria uhitaji tena. Sasa Kawawa yeye hajui akawa hafuniki. Nao wanamuongeza chai. Kanywa hadi anahemea juujuu.
Nyerere ikabidi amwambie kwa kiswahili Kawawa funika kikombe la sivyo utaongezewa chai. Ndo kawawa anashituka.
Nyingine walipo fika ulaya Kawawa kaingia chumbani hakukuwa na kitu akalala chini. Nyerere anamwamsha asubuhi anakuta Kawawa kalala chini akamshangaa, ndipo Nyerere akabonyeza kitanda kikatokea. Kawawa halikuwa hajui. Akamwambia Nyerere mie nalala kulipiza usingizi hata hakwenda katika kikao. Mara walimtania Kawawa hakujua kiingereza.
Lakini haikuwai kutokea Kawawa kukasirika.
Alikuwa mnyenyekevu na mpole. Alichapa kazi. Nyerere aliweza mtoa kuwa waziri mkuu akabaki waziri wa kawaida au wakat mwingine waziri hasie na wizara maalum. Kawawa akasiriki anachapa kazi.
Hana kinyongo. Si mawaziri wa leo akiachwa au kubadilishiwa wizara wanafura wanaanza majungu. Kawawa alikuwa simple. Nilimpenda.
 
Bado ana kihali fulani cha ushamba wa madaraka. I was so surprised kuona anaenda kutembelea kaburi yani why?

Atulize mananihii aliyoyasema atufigwegwe kule Iringa 😃
Hahahahhahaaa...bado ana utii kwa mwendazake...ajabu sana kutembelea.
 
Wakati mwingine ni ngumu kujua WATZ wanataka nini.Kila mtu mjuaji,Ila kuna wanaojitahidi kubalance hoja,kwamba huwezi kujua Rais na VP wamekubaliana watende kazi kwa style gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom