...mimi sitii maji kabisa, maziwa tupu na majani ya chai kwa wingi kidogo ili kukoleza ile rangi...
Wifi m'baya wewe!
Umesahau mchaichai, lol.
Well, mimi huchemsha vyote kwa pamoja kasoro majani ya chai. Umenifundisha njia mpya, nitajaribu.
Kinachofanya maziwa yagande ni contamination from kitwangio cha viungo. Ni vizuri kuwa na kinu cha wet stuff na dry stuff. Hata blender inakuwa na container ndogo mbili, moja tumia kwa swaumu na tangawizi na nyingine for dry stuff kama pilipili manga, iliki na mdalasini. Easy way ni kuweka iliki nzima, na tangawizi kukwangua na grater tu ama chopping (nimekumbuka something i will buy you later).
Mafuluto, usipotia maji ni vema ndio... Ila upande wa ilotiwa viungo mara naona ni bora ukavichemsha kwanza kwenye maji, kwa ukolevu zaidi na pia kama nilivyogusia gurantee ya kuhakikisha maziwa yako ya chai yasigande. Hata hivyo kama huwa wafaulu kupika maziwa matupu na viungo ina maana kuna vingine huwezi tumia...
Umeweka tips za msingi sana (hasa kwenye kitwangio); Asante wifi yangu... Kuhusu tangawizi pia huwa na grate, hio ya chopping inafanya tangawizi itumike nyingi zaidi sababu kukolea kwake tofauti... (alafu ole wako hio later usitokee).
BTW mara nyingi sinaga mchai chai so i do without... hahaha! Itabidi uanze kuniletea..
hainyauki kama ukiiweka kwenye kifuko cha plastic, daima mimi huweka vyakula kama tangawizi, beetroot, karoti na vifanananvyo kwenye mifuko ya plastic na siweki kwenye freezer ni kwenye friji tu na kwenye namba isiyozidi tatu au nne. vitu vinakuwa fresh bila kupoteza radha hata kwa muda wa miezi miwili.
Na hivyo nilikutosa, hehehe. Thoreeee!
Niliona mchaichai wa kukaushwa na jua supermarket, itwas somewhat ok. Kuna mtu ali-smuggle mchaichai na kupanda kwenye flower pot some country, nilicheka sana. Itabidi nikufanyie mpango usijali wifi langu.
hainyauki kama ukiiweka kwenye kifuko cha plastic, daima mimi huweka vyakula kama tangawizi, beetroot, karoti na vifanananvyo kwenye mifuko ya plastic na siweki kwenye freezer ni kwenye friji tu na kwenye namba isiyozidi tatu au nne. vitu vinakuwa fresh bila kupoteza radha hata kwa muda wa miezi miwili.
Mafuluto, usipotia maji ni vema ndio... Ila upande wa ilotiwa viungo mara naona ni bora ukavichemsha kwanza kwenye maji, kwa ukolevu zaidi na pia kama nilivyogusia gurantee ya kuhakikisha maziwa yako ya chai yasigande. Hata hivyo kama huwa wafaulu kupika maziwa matupu na viungo ina maana kuna vingine huwezi tumia...