Chaguzi zavyuo

no huury

Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
16
Reaction score
4
Babari zenu ndugu zangu, Mimi nimechagiwa kwamara yapili nakozi nitofauti naileyamara yakwanza aombeni ushauri nifanyaje?
 
kwa uandikaji huo hata waliokuchaguwa kuna kitu kina mis.............
 
mods mpo wap muedit utumbo alioandika
 
Babari zenu ndugu zangu, Mimi nimechagiwa kwamara yapili nakozi nitofauti naileyamara yakwanza aombeni ushauri nifanyaje?


Jibu ni kwamba waliona walikosea kukuchagua Mara ya kwanza baada ya kutazama Utumbo uliouandika ,,Nchi hii maajabu hayaishi!!,Haya chuo gani Baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…