Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Wakuu naziona chaguzi ndogo tatu mwaka 2012. Wa kwanza ni ule wa Kigoma kusini ambao yanki Kafulila katemeshwa na Mbatia baada ya kujaribu kumtishia nyau.
Wa pili ni wa Arumeru Mashariki. Japo si vema kumtabiria mtu kifo lakini kwa hali ya mbunge wa sasa Jeremia Sumari dakika yoyote anaweza akawa past tense.
Uchaguzi wa tatu ni wa Maswa Magaribi. Si mnajua Shibuda nae kakalia kuti kavu huko CDM na CDM wenyewe hawanaga mzaaa? Tena kwa matamshi yake ya juzi kati hapa sidhani kama CDM watamkopesha.
Naamini CDM watakua na uwezo wa kuyakamata majimbo yote hayo.
Wa pili ni wa Arumeru Mashariki. Japo si vema kumtabiria mtu kifo lakini kwa hali ya mbunge wa sasa Jeremia Sumari dakika yoyote anaweza akawa past tense.
Uchaguzi wa tatu ni wa Maswa Magaribi. Si mnajua Shibuda nae kakalia kuti kavu huko CDM na CDM wenyewe hawanaga mzaaa? Tena kwa matamshi yake ya juzi kati hapa sidhani kama CDM watamkopesha.
Naamini CDM watakua na uwezo wa kuyakamata majimbo yote hayo.