Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Mimi nimeota kiti cha urais kiko wazi! Ni ndoto au ni kweli wana JF? Nijuzeni mlio TZ hasa karibu na magogoni
Tumeanza mwaka wa pili sasa bila Rais! Kiti kiko wazi ck nyingi. TZ tunajiendea tu bila Rais. Hiyo ndoto yako ni fake!