Chaguo Sahihi?

Chaguo Sahihi?

Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?


Hata yeye hakupendi tene hakupendi kabisaaaaaaaaaa anajilazimisha tu kuishi na wewe
 
Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?

Angalia ni kitu gani kilikuvutia kwake hadi ukafikia maamuzi ya kufunga nae ndoa. Ukishagundua kilichokuvuta kwake. Tizama tena kama bado kipo au kimetoweka. Kama kimetoweka jaribu kurejesha. Inawezekana ulimkuta mtoto wa watu kaumbika, ngozi nyororo kama mtoto mchanga. Sasa umemfuja mtoto wa watu, umempausha ngozi ka bi kizee halafu unasingizia chaguo halikua sahihi. Gharamia chako kidumu milele baba.
 
Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?

kwa nin itusikusaidie kufunga na kuomba ili umpende huyo huyo uliyenaye. Mtaani nako si pole pole, huyo unayedhani ndiye siye! Acha kuchukukulia mambo juu! utalia ooooh!
 
Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?

Watu wanashindwa kuelewa...biblia imeweka wazi kwamba ni amri mwanaume kumpenda mke wake, na kwa mwanamke imesema amtii mme wake. Ukitaka heshima, unyenyekevu wa mwanamke, ukitaka kufurahia ndoa yako... mpende mkeo. Unapozidisha upendo kwa mkeo, ndivyo utakavyozidi kufurahia ndoa yako na ndivyo utakuwa na hisia chanya. Upendo kwanza...kisha hisia. Sio hisia kwanza kisha upendo. Ukienda kinyume utakwama.

Kupenda ni amri sio swala la hisia!
 
pole angalia kama cheti cha ndoa kina expire date kama hakuna imekula kwako??????????????
????????????????????????
 
Umri wangu ni zaidi ya miaka 30,Why?

Qa sababu wewe sio mkristo bali ulikuwa mkristo wakati wa uttoto ulipochapwa kwa kutokwenda kanisani au mafundisho.


Bazazi!
 
Sidhani kama ulilazimishwa kumuoa! Kwa nini usimpende kama mwanzo? Kama ana kosea kwa nini usimwambie ajairekebishe?



Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?
 
Naombeni Msaada wenu wa mawazo tafadhali,Mimi ni Mkristo nina mke lakini nahisi nilifanya uchaguzi usio sahihi maana sina hisia nae kabisa japo tumezaa pamoja mtoto,najitahidi Kumpenda lakini wapi naombeni msaada wenu nifanyeje?je kumwacha ili nisiendelee kumuumiza inawezekana?kidini ikoje hiyo?

Pole jamani hii imetutokea watu wengi sana.na inaumiza kweli jamani kanisa inabidi litutengulie hapo adi kufa na iwe adi penzi kukomaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom