Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,043
- 71,864
Sijaelewa pale tunaposema "Hili ni Chaguo la MUNGU" lakini ili chaguo hilo litimie inabidi sasa wanadamu watumie njia na mikakati ya siri, vitisho na ghiliba ili kuhakikisha chaguo hilo la MUNGU linatimia.
Jee ni kweli kuwa Mwenyezi MUNGU wa kweli anahitaji wanadamu tutumie nguvu, mikakati, mizengwe na hila kuwadhibiti wale wasiotaka chaguo la MUNGU litimie? Hawa wasiotaka Chaguo la Mungu wana nguvu kiasi gani kupingana na MUNGU hadi ahitaji tumsaidie kuwashughulikia?
Ni chaguo la Mungu kweli au tunatumia jina lake kwa manufaa ya kibinadamu?
Jee ni kweli kuwa Mwenyezi MUNGU wa kweli anahitaji wanadamu tutumie nguvu, mikakati, mizengwe na hila kuwadhibiti wale wasiotaka chaguo la MUNGU litimie? Hawa wasiotaka Chaguo la Mungu wana nguvu kiasi gani kupingana na MUNGU hadi ahitaji tumsaidie kuwashughulikia?
Ni chaguo la Mungu kweli au tunatumia jina lake kwa manufaa ya kibinadamu?