mzee wa misele
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 366
- 46
najua saizi tunaelekea uchaguzi mkuu nawahasa watanzania mchague MTU sio chama kumbukeni kwamba MTU ndiye anaeleta maendeleo sio chama chagueni MTU mchapakazi na mpenda maendeleo na mwenye usubutu wa kutoa maamuzi magumu yenye kuleta maendeleo ya nchi asiyekuwa mbinafsi na mwenye upendo na watu wote bila kujali rika la watu, hali waliokuwa nayo watu , nawasilisha