Chagua CCM

Chagua CCM

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,835
Reaction score
831,067
1443261052071.jpg
Kama hazikutoshi.....!!!

1443261052071.jpg

Kama hujui nini maana ya huduma bora za jamii

1443261052071.jpg

Kama hujui ni kiasi gani kinatumika kununua wapinzani

1443261052071.jpg

Kama hujui kuwa huu ni ukoo wa panya fisi na mbwamwitu wasio na chembe ya huruma na wewe

1443261052071.jpg

Chagua CCM kama hazikutoshi

View attachment 291359

Kama unadhani vipaumbele ni kufanya maskhara kwenye jambo makini

1443261357084.jpg

Chagua CCM kama huelewi nini maana ya kunyenyekewa kipindi hiki

1443261426346.jpg

Kama unajitambua kama wewe ni mzalendo na una uchungu na taifa lako chagua Lowassa chagua mabadiliko chagua UKAWA kwa kuwa ni wakati wetu sasa

1443261604459.jpg

Popote kwa lolote bila chochote tupo
 

Attachments

  • 1443261566663.jpg
    1443261566663.jpg
    10.2 KB · Views: 1,080
Watanzania walivo na akili zao kuhadaika sasa ivi wamesahau shida zote sasa hivi wanahongwa khanga tishert na madira na kupandishwa kwenye malori
Diva Beyonce ucjali tunaukomboa wakati sasa
Wakati tuliodhulumiwa
Wakati tuliotishwa
Wakati tulionyanyaswa na kunyanyasika
Wakati tulioibiwa
Wataki tuliofanya raia daraja la pili kwenye ardhi yetu wenyewe
Wakati tuliotukanwa, kukashfiwa na kubezwa
 
Last edited by a moderator:
Watanzania hawana kosa....hatujui kama wanaipigia ccm kweli au tume inatangaza matokeo yakupangwa
hadi ikija tume huru ya uchaguzi ndo tutajua

Hili nalo neno wameshaandaa uchakachuzi wao tayari na percent bora wangekua wanachakachua wanafanya ya maana kwa nchi wana create ulaji wao na familia zao wakati majority wana suffer
 
Lowassa ndo Rais wetu tushaamua ivo
 
Watanzania hawana kosa....hatujui kama wanaipigia ccm kweli au tume inatangaza matokeo yakupangwa
hadi ikija tume huru ya uchaguzi ndo tutajua

Kwa mfano tume huru inakujaje wakati CCM wamebana kila kona? Umeona bunge la katiba? Miswada inayopitishwa bungeni?
 
Watanzania walivo na akili zao kuhadaika sasa ivi wamesahau shida zote sasa hivi wanahongwa khanga tishert na madira na kupandishwa kwenye malori

Bora useme wewe! Shida zimepotea ghafla! Ngoja shuhuli iishe.....
 
madaku gaku joo libwa, hagula wa mwene na mdala vako
 
Back
Top Bottom