Je, huwa unapiga chafya ya upwiru?
Hii siyo chafya inayosababishwa na mafua ama vumbi, bali inasababishwa na hisia za upwiru!
Chafya hii huja mara tu fikra za kimapenzi zinapokuja kichwani mwako ama ukimuona mtu ukamuelewa, basi utapiga chafya kama beberu.
Ukiwa kwenye eneo la mkusanyiko wa watu kama stendi, sokoni, mkutanoni ama kwenye daladala, ukimuona mtu mwenye vigezo (vitu) vyako vya mapenzi chafya hii hujitokeza. Utapiga chafya mara 3 kama beberu.
Hii ndiyo chafya ya upwiru!. Na hupigwa na jinsia zote 2.
N.B. Kama hupatwi na chafya hii, wewe afya yako ya ngono siyo nzuri.
Hii siyo chafya inayosababishwa na mafua ama vumbi, bali inasababishwa na hisia za upwiru!
Chafya hii huja mara tu fikra za kimapenzi zinapokuja kichwani mwako ama ukimuona mtu ukamuelewa, basi utapiga chafya kama beberu.
Ukiwa kwenye eneo la mkusanyiko wa watu kama stendi, sokoni, mkutanoni ama kwenye daladala, ukimuona mtu mwenye vigezo (vitu) vyako vya mapenzi chafya hii hujitokeza. Utapiga chafya mara 3 kama beberu.
Hii ndiyo chafya ya upwiru!. Na hupigwa na jinsia zote 2.
N.B. Kama hupatwi na chafya hii, wewe afya yako ya ngono siyo nzuri.