rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
Kwa Wakuu wote wa Chadema
napenda kuchukua nafasi hii kuwauliza kama kweli mna mpango wa kuchukua madaraka 2015
kila wakati nikiwaza miaka mingine mitano na ccm nakata tamaa,je wakuu mna mpango kweli wa kuchukua Nchi?hivi kwa sasa hivi baada ya uchaguzi wa Igunga kuna nini kinaendelea ndani ya chama?
napenda kuwafahamisha tumaini la Watanzania lipo mikononi mwenu,kama chama cha Cuf wangekuwa hawajaungana na ccm tungewashauri kufanya makubaliano ya kuunganisha vyama hivi viwili haraka jinsi inavyowezekana
kwa sasa hivi sioni chama chochote ambacho kinaweza kuunganisha nguvu na nyie,Nccr wako hoi!
sasa basi kama mna mpango wa kuchukua madaraka 2015 mtayachukuaje?je ni rahisi kunyang'anya ccm madaraka?kwani wao hawataki kutawala?
ccm ndio wanajua utamu wa kutawala,ukionja asali lazima uchonge mzinga!
wakuu mimi nina mashaka sana na mwenendo mzima wa mabadiliko,kwa kweli sielewi mpaka sasa hivi kama mna mipango yoyote mipya ya kuchukua madaraka
kuchukua madaraka sio kitu rahisi kama tunavyofikiri,mmejionea wenyewe uchaguzi wa igunga mambo yalivyokuwa,nawahakikishia hata uchaguzi mkuu 2015 itakuwa kama igunga!
nitahuzunika sana kama Chadema mkituangusha na kuachia ccm iendelee kutawala 2015,ina maana tutaendelea na ccm mpaka 2020,jamani ni mbali sana tumeshateseka kiasi cha kutosha
nina mengi sana kuhusu hii mada,kwa ujumla nina mashaka na maandalizi ya kuchukua madaraka,ninachojua ,huwezi kujenga nyumba bila kuchora ramani,na mjenzi atatumia ramani iliyochorwa na wataalam kukadiria matumizi yote mpaka nyumba kukamilika,
Viongozi wote wa chadema nawashauri kubalini kubadilika sasa hivi kama itawezekana,msiridike na hatua mliopiga,yaani kwa ujumla hamjafika hata nusu ya safari,
jengeni uhusiano wa karibu na chama cha Pf cha Zambia,Rais wake Sata amepitia mengi na kwa taarifa yenu haipendi ccm hata chembe, source ni mimi mwenyewe nilikuwa zambia
ndugu zangu chadema mna jukumu kubwa sana lakini mashaka yangu kila siku yanaongezeka,Dr Slaa tunajua upo hapa na utatusaidia kwenye hili.
napenda kuchukua nafasi hii kuwauliza kama kweli mna mpango wa kuchukua madaraka 2015
kila wakati nikiwaza miaka mingine mitano na ccm nakata tamaa,je wakuu mna mpango kweli wa kuchukua Nchi?hivi kwa sasa hivi baada ya uchaguzi wa Igunga kuna nini kinaendelea ndani ya chama?
napenda kuwafahamisha tumaini la Watanzania lipo mikononi mwenu,kama chama cha Cuf wangekuwa hawajaungana na ccm tungewashauri kufanya makubaliano ya kuunganisha vyama hivi viwili haraka jinsi inavyowezekana
kwa sasa hivi sioni chama chochote ambacho kinaweza kuunganisha nguvu na nyie,Nccr wako hoi!
sasa basi kama mna mpango wa kuchukua madaraka 2015 mtayachukuaje?je ni rahisi kunyang'anya ccm madaraka?kwani wao hawataki kutawala?
ccm ndio wanajua utamu wa kutawala,ukionja asali lazima uchonge mzinga!
wakuu mimi nina mashaka sana na mwenendo mzima wa mabadiliko,kwa kweli sielewi mpaka sasa hivi kama mna mipango yoyote mipya ya kuchukua madaraka
kuchukua madaraka sio kitu rahisi kama tunavyofikiri,mmejionea wenyewe uchaguzi wa igunga mambo yalivyokuwa,nawahakikishia hata uchaguzi mkuu 2015 itakuwa kama igunga!
nitahuzunika sana kama Chadema mkituangusha na kuachia ccm iendelee kutawala 2015,ina maana tutaendelea na ccm mpaka 2020,jamani ni mbali sana tumeshateseka kiasi cha kutosha
nina mengi sana kuhusu hii mada,kwa ujumla nina mashaka na maandalizi ya kuchukua madaraka,ninachojua ,huwezi kujenga nyumba bila kuchora ramani,na mjenzi atatumia ramani iliyochorwa na wataalam kukadiria matumizi yote mpaka nyumba kukamilika,
Viongozi wote wa chadema nawashauri kubalini kubadilika sasa hivi kama itawezekana,msiridike na hatua mliopiga,yaani kwa ujumla hamjafika hata nusu ya safari,
jengeni uhusiano wa karibu na chama cha Pf cha Zambia,Rais wake Sata amepitia mengi na kwa taarifa yenu haipendi ccm hata chembe, source ni mimi mwenyewe nilikuwa zambia
ndugu zangu chadema mna jukumu kubwa sana lakini mashaka yangu kila siku yanaongezeka,Dr Slaa tunajua upo hapa na utatusaidia kwenye hili.