CHADEMA Yazizima TANGA

Ht ww mwenyewe unaipenda ccm kimoyomoyo ila unawazuga hao wamwagia watu na tindikali. Walisha watu sumu

Naichukia ccm kam shetani vile,na mbaya Zaidi nawachukia wote wanao kitetea na kukishabikia kawa watumishi wake(shetani)
 
Source:Tanzania Daima
nitatizo,janga la tasinia ya habari
Tatizo chombo cha habari au habari yenyewe? Tungekuelewa kama ungekanusha habari lakini kama habari ni ya kweli tatizo ni nini.
 
hivi chadema tanga inamajimbo mangapi,naomba nikumbushwe tafadhali.
 
nadhani ni nguvu ya umafia na kumwagia watu tindikali na kulipua mabomu.

Ndio maana wanajaa kwenye mikutano, waTanzania wajinga sana wanakipendea nini hiki chama cha wauaji? Wanamuachia ccm Mwigulu peke yake
 
Ndio maana wanajaa kwenye mikutano, waTanzania wajinga sana wanakipendea nini hiki chama cha wauaji? Wanamuachia ccm Mwigulu peke yake

Ha ha ha ha haaaaaaaaaaa! Uuuuuuuuuuwi!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hoja za CHADEMA siku zote hazibadiliki kuanzia mwenyekiti wao hadi wapambe wao walioko humu Jf na hata wale wanaojidanganya kuwa kero zao zitaondolewa na mtu mwingine au chama fulani badala ya kufanykazi kwa bidii kwa kutumia fursa zilizopo.
.....Fursa gani unaongelea, za kumsaidia Azzan kuuza unga au kumsaidia Kinana kuua tembo?
 

Tulia uchomwe sindano hata kama inauma wewe tulia tu nduguu, kwani hapo huna lolote zaidi ya wivu. VIVA CDM
 
hata hamjui mnachoandika mnabwabwaja tu,mtawatumikia wanasiasa milele
 

Wamejifunza toka akina Shonza na Mwampamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…