CHADEMA yazidi kupaa kwa 100% mkoa wa Kigoma

CHADEMA yazidi kupaa kwa 100% mkoa wa Kigoma

rfa

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
105
Reaction score
38
Pamoja na w.mkuu kututembelea leo Katika wilaya mpya ya Kakonko-Kigoma, m/kiti wa kijii cha itumbiko kupitia CCM Leo amejiunga na CHADEMA na kuacha kazi ya uenyekiti, ila uongozi CHADEMA wilaya utamtambulisha rasmi tarehe 9 mwezi huu kwenye mkutano wa m4c utakao ongozwa na ZITTO KABWE kama ratiba haitabadilika.

Sku hiyo ataambatana na wanachama wengine CCM wa kijiji hicho waliokuwa wanamuunga mkono. Kwa hali hiyo kijiji hicho hakitakuwa na mwanachama wa CCM tena kwani ilikuwa imebakia ngome ya mwenyekiti tu, wengi wako CHADEMA.

SABABU ZA KUACHANA NA CCM ni ktk sakata la wahamiaji haramu, alikamatwa na kupewa kipigo nusu ya kufa na amekaa jela kwa sku8,kwamba yeye anahifadhi wakimbizi ktk mashamba yake wakifanya shughuli ya kulima shamba lake.
 
Akaribie, awe jasiri tayari kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa wanyanganyi.
 
Pamoja na w.mkuu kututembelea leo Katika wilaya mpya ya kakonko-kigoma, m/kiti wa kijii cha itumbiko kupitia ccm Leo amejiunga na CHADEMA na kuacha kazi ya uenyekiti, ila uongozi cdm wilaya utamtambulisha rasm tarehe 9 mwezi huu kwenye mkutano wa m4c utakao ongozwa na ZITTO KABWE kama ratiba haitabadilika. Sku hiyo ataambatana na wanachama wengine ccm wa kijiji hicho waliokuwa wanamuunga mkono. kwa hali hiyo kijiji hicho hakitakuwa na mwanachama wa ccm tena kwan ilikuwa imebakia ngome ya mwenyekiti tu, wengi wako cdm.SABABU ZA KUACHANA NA CCM. ktk sakata lawahamiaji haram, alikamatwa na kupewa kipigo nusu ya kufa na amekaa jela kwa sku8,kwamba yeye anahifadhi wakimbizi ktk mashamba yake wakifanya shughuli ya kulima shamba lake, ccm bye byeeeee!

Duh Chadema na siasa zake za kumuunga mkono Kagame zinaji tokeza taratibu, sasa huyu mwenye kiti ambayae alikuwa anavunja sheria na kuwafanyisha kazi wakimbizi, alikuwa na maana gani, hali vijana wengi na wakazi wa kigoma hawana kazi. CDM na itikadi ya kubeba wahuni hataishia hapa, naona mnaenda na style ya kile chama cha kifacist cha Ugiriki ambacho kimefikishwa mahakamani.
 
Huyu Zito si mnasema ccm mbona m4c anaiongoza yeye kigoma na huku anatumika na ccm
 
Sikutarajia kuona wana CHADEMA mnashangilia masalia kama huyo; ukizingatia ametoka ndani ya CCM kwa uhalifu na sio kishujaa.

Tumekuwa tukitoa tahadhari humu mara kwa mara juu ya hatua inayo chukuliwa na CHADEMA ya kupokea hao masalia kuwa wawe makini. Kwani sio wote wanao mwagwa CCM watakuwa msaada kwenye harakati za CHADEMA (ref SHIBUDA).

Angalizo: bila upinzani imara; CCM itayumba.
 
Adhabu ya Mhalifu Tanzania ni Kupiga hadi.......kumwaga utumbo. Mahakamani siyo sehemu ya wahalifu tena.

images

Duh Chadema na siasa zake za kumuunga mkono Kagame zinaji tokeza taratibu, sasa huyu mwenye kiti ambayae alikuwa anavunja sheria na kuwafanyisha kazi wakimbizi, alikuwa na maana gani, hali vijana wengi na wakazi wa kigoma hawana kazi. CDM na itikadi ya kubeba wahuni hataishia hapa, naona mnaenda na style ya kile chama cha kifacist cha Ugiriki ambacho kimefikishwa mahakamani.

Sikutarajia kuona wana CHADEMA mnashangilia masalia kama huyo; ukizingatia ametoka ndani ya CCM kwa uhalifu na sio kishujaa.

Tumekuwa tukitoa tahadhari humu mara kwa mara juu ya hatua inayo chukuliwa na CHADEMA ya kupokea hao masalia kuwa wawe makini. Kwani sio wote wanao mwagwa CCM watakuwa msaada kwenye harakati za CHADEMA (ref SHIBUDA).

Angalizo: bila upinzani imara; CCM itayumba.
 
Sikutarajia kuona wana CHADEMA mnashangilia masalia kama huyo; ukizingatia ametoka ndani ya CCM kwa uhalifu na sio kishujaa.

Tumekuwa tukitoa tahadhari humu mara kwa mara juu ya hatua inayo chukuliwa na CHADEMA ya kupokea hao masalia kuwa wawe makini. Kwani sio wote wanao mwagwa CCM watakuwa msaada kwenye harakati za CHADEMA (ref SHIBUDA).

Angalizo: bila upinzani imara; CCM itayumba.

Awe Masalia asiwe Masalia bado haibadilishi ukweli kuwa CCM imechokwa kwa kiwango cha juu mno. Wakati huyu ndugu ameonyesha ujasiri wa kuikana CCM hadharani, mamilioni ya Watz wameikataa CCM kwenye mioyo yao.
 
Duh Chadema na siasa zake za kumuunga mkono Kagame zinaji tokeza taratibu, sasa huyu mwenye kiti ambayae alikuwa anavunja sheria na kuwafanyisha kazi wakimbizi, alikuwa na maana gani, hali vijana wengi na wakazi wa kigoma hawana kazi. CDM na itikadi ya kubeba wahuni hataishia hapa, naona mnaenda na style ya kile chama cha kifacist cha Ugiriki ambacho kimefikishwa mahakamani.

wewe mbulura acha ujinga,kama alikuwa na makosa kwa nini aachiwe tu bila kufunguliwa mashitaka? huo ni upuuz mkubwa na hautakiwi kufumbiwa macho,haya maccm ni mashetani tu
 
M/KITI ameachiwa na wafanyakazi wake wamerudishwa, walikuwa ni wakazi wa kijiji cha mhange mpakani na burund,wakafanyiwa hiyana kuwa niwakimbizi kumbe ni watanzania baada ya uhakika huo ndo maana m/kiti kaachiwa.kwa hiyo alipewa kipigo bila kosa na akawekwa jela sku8 bila kosa hivi ameikataa ccm na kujiunga cdm
 
hapo police ciciem walikurupuka bila kufanya upembuzi yakinifu.kwa yeye alikuwa hana kosa.tarehe 9 kwenye mkutano wa m4c.hao waliopakaziwa kuwa ni wahamiaji haram waliokuwa wanafanya kazi kwa m/kiti. watakuwepo kwenye mkutano
 
WanaJF, Mtu akiwa mharifu si ufunguliwa mashitaka kwa ualifu alioufanya sasa hawa ccm kannjanja walichukua fursa hii ya kuondoa wahamiaji haramu kulipiza visasi kwa watu wasio na hatia. Huyu M Dada anadai chadema inachukua waarifu anasahau Shonza na Mwampamba walikuwa waharifu
 
Sikutarajia kuona wana CHADEMA mnashangilia masalia kama huyo; ukizingatia ametoka ndani ya CCM kwa uhalifu na sio kishujaa.

Tumekuwa tukitoa tahadhari humu mara kwa mara juu ya hatua inayo chukuliwa na CHADEMA ya kupokea hao masalia kuwa wawe makini. Kwani sio wote wanao mwagwa CCM watakuwa msaada kwenye harakati za CHADEMA (ref SHIBUDA).

Angalizo: bila upinzani imara; CCM itayumba.
kama wewe ulivyosalia!
 
Nini mwenyekiti wa kijiji !!!! ilibidi muchukue viti vyote ya Ubunge kigoma 2010,mnajua kosa lenu???
 
Sikutarajia kuona wana CHADEMA mnashangilia masalia kama huyo; ukizingatia ametoka ndani ya CCM kwa uhalifu na sio kishujaa.

Tumekuwa tukitoa tahadhari humu mara kwa mara juu ya hatua inayo chukuliwa na CHADEMA ya kupokea hao masalia kuwa wawe makini. Kwani sio wote wanao mwagwa CCM watakuwa msaada kwenye harakati za CHADEMA (ref SHIBUDA).

Angalizo: bila upinzani imara; CCM itayumba.

HAMY-D naona umekurupuka kuja kuandika porojo tupu.

Mpaka sasa(Kwa kumbukumbu zangu) hakuna mwanachama mwandamizi yoyote wa CCM tuliyewahi kumfukuza CCM na kisha yeye kuhamia CHADEMA ila wapo watu waliokuwa wanachama wa CHADEMA wakafukuzwa na CHADEMA kwa aibu kwa kuwa ni 'mamluki' na kisha wakahamia CCM tena tukawapokea kwa mbwembwe kubwa na pia tukawapa na vyeo papo kwa papo, miongoni mwao ni Juliana Shonza, Mwampamba na Chris Lukosi.

Huyo Mwenyekiti wa kijiji wa CCM anayedaiwa kuhamia CHADEMA, CCM hatukuwahi kumfukuza au kumvua uanachama, hivyo sio sahihi kumwita 'masalia'.

John Shibuda hakufuzwa CCM bali alihama mwenyewe CCM baada ya kutoswa kugombea ubunge na kisha kuhamia CHADEMA ili agombea ubunge.
 
Last edited by a moderator:
enyi mnaoiabudu ccm, kiama chenu kinatimia siku za usoni. Huyo Juliana na wenzake waliohamia Ccm, Hawakufukuzwa, bali uzalendo uliwashinda, baada ya kushindwa kuwatumikia wananchi wakaamua kuondoka km walivokuja. Ok. Waliondoka, je! ni kipi walichopunguza ktk harakat za kulikomboa taifa? Zaid harakat zimeongezeka, na wanachama wameongezeka.
 
Back
Top Bottom