Mabadiliko yanakuja kwa kasi wenye magamba Yao walie tu
Hakuna lisilowezekana jamani!
Viva Chama cha Demokrasia na Maendeleo!
HAKIKA:::: Kabla jogoo
halijawika Gambaz litakuwa chali limesalm amri .. Damu mliyomwaga
Olasiti na Soweto itawalumbua daima ... Mungu wetu anaita, Mungu wetu si
wa mzaha..Vvivaaa ustawi wa jamii.