Taifa la heshma haki na ubinaadamu TANZANIA Aibu hizi zilizoletwa na sisiem TUZIFUTE VIPI?sasa hivi ni aibu kujitangaza kuwa una kadi ya CCM
kwa sela nyepenyepesi km za cdm kwa vijana wavivu wakufikiri na wavivu wakufanya kazi ndo wanadhan ni ukombozi..km kula zitakuwa zinapigwa jf ndo mtashinda vingenevyo mtasubiri sana..pili km sio kutumika ni nn?rwatu wapo chuo na stil wanachagizwa na siasa...mtatumika sana km condum za kinaslaa na mwisho kuflashiwa tu...
sera nyepesi za cdm zinazidi kuwateka vijana wavivu
Kubalini kwamba mtapakatwa sana tu siku za usoniEndelea kuamini hivyo imani rahic na akili ndogo haziwez kuendelea kutawala akili kubwa. It shows how u are real tired and ready to loose. Mwisho wa akili ndogo kutawala kubwa ndo huo. Mmetumia hela za meno ya tembo na ufisadi lakini kukaa ni lazima
aiseeeeee babayanu ngoja nijikamatie kadi yangu ya chadema kabla hazijaisha pipooooooooooo
Mabadiliko yanakuja kwa kasi wenye magamba Yao walie tu
Hongereeni mlio vyuo vya ukweli democrasia inazngatiwa, hapa uhasibu arusha uchaguzi wake sawa na Head Prefect wa secondary, no vyama wala ndugu yake....