Chadema yazidi kung'ara vyuoni

Chadema yazidi kung'ara vyuoni

...na hili la kufunga vyuo wakati wa uchaguzi tulitafutie ufumbuzi wa kikatiba,nimegundua tunapoteza kura nyingi sana wadau,hongereni makamanda....
 
ibilisi ccm,polisiccm,tbccm,cufccm,nccrccm,tlpccm,adccm,cckccm.

huu usenge unaonyesha jinsi gan mlivyo wabinafsi na kwa stail ya kuona nyie ndiyo wapinzani pekee, mtakuwa wapinzani milele.
 
Mshindi bwana Chaki Ana 513 Kwa 446 za Bwana Nyakiha lakini kinachusikitisha watanzania wengi hawapigi kura kwani wanakatishwa tamaa na magamba na uchakachuaji maana chuo kina watu zaidi ya elfu 3000 lakini kizuri hata wakijitokeza wachache hata wengi wanapenda mabadiliko na si Magamba
 
huu usenge unaonyesha jinsi gan mlivyo wabinafsi na kwa stail ya kuona nyie ndiyo wapinzani pekee, mtakuwa wapinzani milele.
Watakaalia sana hata watukane gwanda ndo habari ya mjini na vijijini
 
Mikono na Mioyo ya Gamba inanuka damu ... ya wa hanga Mwangosi, Dr Uli, maumivu na vilema wa arusha, iringa, mtwara ... hakika mtamtambua Mungu tunaye anza na kumaliza naye ... subirini huu ni mwanzo
mpaka leo hamjatuambia, hivi mbinu za kujitoa muhanga mmejifunza wapi!!! IRGUN au HAMAS?????
 
Halafu ni wambie siyo kwamba Chadema wamepanga na kuingilia uchaguz Bali wanafunzi wenyewe walitafiti na kujua itikadi ya kila mgombea kulikuwa na wagombea watatu ilamatokeo hapo nimeweka ya wawili. Sasa kwa CheCheMee mpaka viongozi wa UVCCM wamekuja chuoni Mara kadhaa wakamwaga na chenji za meno ya tembo rada na EPA na wakatumia madarasa kwa mikutano ya kisiasa kwa kuruhusiwa lakini makamanda wakasimama kishujaa na kutupilia mbali magamba
 
Chadema imezidi kuonesha kukubalika vyuoni baada ya matokeo ya Uchaguzi wa Rais Serikali ya wanafunzi Taasi ya Ustawi wa Jamii kumwangusha vibaya sana kada wa CCM na UVCCM pamoja na nguvu ya chama tawala na mahela Yao machafu. Watu wameamua kusema kwa sauti zao wenyewe. Kama kawaida yetu Huwa Tunaanza na Mungu na Kumaliza na Mungu. Na kilicho mwangusha kada wa Magamba ni Ile baada ya watu kujua Ana kadi za CHECHEMEE na Jumuhiya zake. SAUTI YA MUNGU NDIYO YA WATU. Watu wakakamavu na watafuta maendeleo wanapiga Gwanda. VIVA USTAWI WA JAMII Kwa kuimarisha umoja na kudhihirisha kuwa Magamba hayana nafasi. Tumpe nguvu rais wetu tuchape kazi

Mkuu shukran kwa taarifa....................... lakini ungetuwekea na idadi ya kura humu kwa kila mgombea, majina yao na jina la mshindi
 
Mkuu shukran kwa taarifa....................... lakini ungetuwekea na idadi ya kura humu kwa kila mgombea, majina yao na jina la mshindi
Mshindi ni Chaki kwa kura 513 akifuatiwa na Nyakiha kwa kura 446 ila sijapata za watatu nikishafika eneo la tukio notaweka wa tatu. Kazi ilikuwa kuzilinda kura
 
Yaani Damu za watu zitawasaliti CCM na kama walikataa wenyewe kuyavua magwanda sasa wanavuliwa kwa nguvu za umma yaani peoples power. This is what M4C Entails
Mkuu sahihisha hapo kwenye bold,ni kuvua magamba yao yanayonuka damu za watanzania wasokuwa na hatia yoyote!!
 
Mkuu sahihisha hapo kwenye bold,ni kuvua magamba yao yanayonuka damu za watanzania wasokuwa na hatia yoyote!!
Nikuvua Magamba nilikosea sorry kwa niliowakwaza ni kosa la kawaida
 
wazee wakulalamika na kuzira hiyo kasi nadhan niyakurudi nyuma hata takwimu hamwangalii udiwan mmeambulia kata chache utasikia tumeibiwa..mtabanwa tu mpaka mzire kugombea..
 
utasikia CDM inapenyeza siasa vyuoni, magamba wabaki na chuo chao kikuu cha kata cha Dodoma. kwingine wasahau
 
Haya sasa walo ni uliza matokeo ni hivi Chaki ambaye ndo mshindi kura 513 Nyakiha mwakilishi wa magamba kura 446 na mgombea huru kapata kura 250
 
CheCheMee majanga matupu usije ukajitaja mfuasi wao utakimbiwa na watu
 
Sasa hivi watakuwa ni wa kupakatwa CheCheMee hao aibu yao
 
Kwa kweli watu wanakiri na kudhihirisha kuwa CHADEMA YATOSHA TU
 
Kijana wa Leo ukimkuta anahusudu Magamba aka CheCheMee uju Ana maslahi kwani wanapata kula kwao huko na hawajishughulishi wanasubiri kupewa mgao ndo waishi. Mfano mzuri wake wa kupokea 7000 Lumumba kwa kutukana na kukashfu Chama Cha Watu yaani CHADEMA
 
Back
Top Bottom