CHADEMA yazidi kumeguka...!

kufa kwa imam sio mwisho wa ibada. Kuhama kwa huyo sio mwisho wa ukombozi! Ww unafikiri sasa akihama MBOWE au SLAA hatutaendelea na ukombozi? u have pesa! but we have MUNGU.
 
Huyu Dada,she must be mad,hivi hay a mapenzi na ccm na mwiguru ni ya juzi baada ya kutimuliwa au ya Siku nyingi?,thanks wanaCDM kwa kumgundua huyu nyoka mapema,huyu Dada hafai kwenye siasa za kweli,anaigiza.
 
Kwabahati mbaya huwa sipendi maneno sana ,napendelea vitendo zaidi so guys niambieni ni kituo
Kipi nikaripoti ili kama ni archuga niondoke na ndege na ndege ya asubuhi ili niwahi

wewe juliana domo kaya mtukanaji mkubwa ww ndo wa kusema hupendi maneno ww shetani mkubwa uliyeua watu kisa njaa zako eti upande ndege ya wapi time will tell.
 
Huyu Dada,she must be mad,hivi hay a mapenzi na ccm na mwiguru ni ya juzi baada ya kutimuliwa au ya Siku nyingi?,thanks wanaCDM kwa kumgundua huyu nyoka mapema,huyu Dada hafai kwenye siasa za kweli,anaigiza.


Kaka usifanye mchezo na mkasi unapokolea... Watu wapo ki maslahi, usifikiri anavua chup hivi-hivi tu... Na mikasi inapokolea ndio maana inafika wakati mdada anapelekwa kusomeshwa Masters...
 


Amemeguka baba yako.
 
wenzako wanasikitika jinsi SHONZA anavyowakaba koo, wewe unacheka hahahaaa, ili iweje? wasidie wenzako tena kwa hoja manake wao wanaishia kumtukana tu wakati dada wa watu anawapa facts.
..shonza mwepesi sana,vipo vigingi vya kuleta upinzani lakini si shonza, mtoto uliyemlea hakupi shida hata kama atarukaruka, tunamjua vyema so easy sana kumhandle....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…