Kuna taarifa kwamba baada ya kupima mambo yule dada anawaza kukimbia jimbo
Hii habari imfikie βChakubangaβ, tafadhal!
Nonsense!!
Angesubiria tu uteuzi kutoka chamwino kuliko anavyojichetua mitaani hapo mbeyaYule jimbo lake lipo wazi pale magogoni
Au sio! Hongera wewe ambae hujavurugwaUmevurugwa wewe siyo bure
Au sio! Hongera wewe ambae hujavurugwa
Julai 2020
Mbeya Tanzania
'Mahakama ya Wananchi' , Tulia Vs. Sugu
Woga wazidi kuikamata CCM sasa kufanya mambo yao kimya kimya maana aibu ya kisiasa inaweza kuwakumba wanaoonesha nia kugombea ubunge na udiwani
Sasa huo moto uko wapi hapo kamanda? Naona kamanda Sugu aka rais wa Mbeya anahutubia mkutano na sijaona moto po pote pale
Sijawahi waamini watanzania kwenye kile kibox cha kupiga kura...ni wanafiki sana!
ππππ6 Julai 2020
Mbeya, Tanzania
CCM MBEYA MJINI YAPIGA MARUFUKU MABANGO, MBWEMBWE, WAPAMBE MITANDAONI
Katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM majina yote ya wagombea CCM Mbeya kurejeshwa, maana tayari CCM wameanza kuchafuana wenyewe kwa wenyewe kuelekea uteuzi ndani ya chama cha CCM Mpya. Hivyo itakuwa ngumu kuwasafisha wakienda kupambana na wagombea wa vyama vingine ktk chaguzi za wana Mbeya kupata wabunge na madiwani. Kura za maoni kwa watia nia CCM Mbeya zitatangazwa kwa kutumia lugha laini aliyeongoza badala ya aliyeshinda ili kulinda mshikamano na kuondoa makundi ndani ya CCM Mbeya.
Source : MbeyaYetuOnlineTV
Tulia anaweza asichukue mkuuHuyo Sugu Baada ya Tulia Kuchukua jimbo akili itamkaa sawa
Julai 2020
Tunduma, Tanzania
Mkutano wa ndani wa CHADEMA
Mjini wa Tunduma wasitisha shughuli kumpokea Mh. Frank Mwakajoka aliporejea jimboni toka Dodoma kuwawakilisha wananchi kwa kuikumbusha serikali majukumu yake kwa wananchi na moja kwa moja kwenda kufanya mkutano wa ndani na wananchi.
Frank Mwakajoka awashitaki kwa wananchi Mawaziri 3 wa serikali ya CCM Mpya waliotumwa kumrubuni ahamie CCM kuunga juhudi ili awe mbunge wa CCM Mpya lakini awahakikishia kuwa alikataa rushwa hiyo.
Anaendelea , Pia niliandikiwa ki memo nionane na kiongozi wa shughuli za Bunge wa CCM pia nilikataa katakata kuonana naye.
source : DSS Tunduma
Wakiyaona haya, tume ya uchaguzi itazidi kusuka mbinu za kutotangaza washindi wote wa upinzani. Wapinzani jiandaeni kwa hilo.Hii habari imfikie βChakubangaβ, tafadhal!
Iko hivi Mkuu SS wataweza kuwaua Wana Chadema mmojammoja lakini hawawezi kuiua Chadema,kwa maana Chadema Ni Roho,na Roho hua inaelea hewani tu,haionekani inamwingia mtu tu.Kwa kifupi Chadema Ni Roho ya Kisiasa.Waliotarajia CHADEMA iwe imekufa,watasubiri sana.
Muhuni bashiru na chama chake, mnatangaza eti wagombea walitakiwa watatu lakini fomu amechukua mgombea mmojaAcha utani MUNGU yupi huyo mwenye mipango na wahuni wa chadema