Uchaguzi 2020 CHADEMA yawasha moto Mbeya Mjini, mjumbe wa kamati Kuu aanza ziara ya kutoa semina kata zote, hii hapa ni kata ya Nzovwe

Julai 2020
Mbeya Tanzania

'Mahakama ya Wananchi' , Tulia Vs. Sugu



6 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

CCM MBEYA MJINI YAPIGA MARUFUKU MABANGO, MBWEMBWE, WAPAMBE MITANDAONI

Katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM majina yote ya wagombea CCM Mbeya kurejeshwa, maana tayari CCM wameanza kuchafuana wenyewe kwa wenyewe kuelekea uteuzi ndani ya chama cha CCM Mpya. Hivyo itakuwa ngumu kuwasafisha wakienda kupambana na wagombea wa vyama vingine ktk chaguzi za wana Mbeya kupata wabunge na madiwani. Kura za maoni kwa watia nia CCM Mbeya zitatangazwa kwa kutumia lugha laini aliyeongoza badala ya aliyeshinda ili kulinda mshikamano na kuondoa makundi ndani ya CCM Mbeya.

Source : MbeyaYetuOnlineTV

Woga wazidi kuikamata CCM sasa kufanya mambo yao kimya kimya maana aibu ya kisiasa inaweza kuwakumba wanaoonesha nia kugombea ubunge na udiwani
 
6 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

CCM MBEYA MJINI YAPIGA MARUFUKU MABANGO, MBWEMBWE, WAPAMBE MITANDAONI

Katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM majina yote ya wagombea CCM Mbeya kurejeshwa, maana tayari CCM wameanza kuchafuana wenyewe kwa wenyewe kuelekea uteuzi ndani ya chama cha CCM Mpya. Hivyo itakuwa ngumu kuwasafisha wakienda kupambana na wagombea wa vyama vingine ktk chaguzi za wana Mbeya kupata wabunge na madiwani. Kura za maoni kwa watia nia CCM Mbeya zitatangazwa kwa kutumia lugha laini aliyeongoza badala ya aliyeshinda ili kulinda mshikamano na kuondoa makundi ndani ya CCM Mbeya.

Source : MbeyaYetuOnlineTV

😆😆😆😆
 
Julai 2020
Tunduma, Tanzania

Mkutano wa ndani wa CHADEMA
Mjini wa Tunduma wasitisha shughuli kumpokea Mh. Frank Mwakajoka aliporejea jimboni toka Dodoma kuwawakilisha wananchi kwa kuikumbusha serikali majukumu yake kwa wananchi na moja kwa moja kwenda kufanya mkutano wa ndani na wananchi.


Frank Mwakajoka awashitaki kwa wananchi Mawaziri 3 wa serikali ya CCM Mpya waliotumwa kumrubuni ahamie CCM kuunga juhudi ili awe mbunge wa CCM Mpya lakini awahakikishia kuwa alikataa rushwa hiyo.

Anaendelea , Pia niliandikiwa ki memo nionane na kiongozi wa shughuli za Bunge wa CCM pia nilikataa katakata kuonana naye.
source : DSS Tunduma


haya ndo mapokezi??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,

upande wa pili cheki jamaa uku alienda kukagua tu mradi, yaani alipita tu mara moja
1594302724753.png
 
10 Julai 2020
Dodoma, Tanzania

Nyufa ndani ya CCM, Makundi yaibuka

Tayari wana CCM ya Zamani wakiwakilishwa na MNEC toka Momba Songwe amefikisha ujumbe juu ya kutoridhika na CCM Mpya kuwasahau waliokipigania chama 2010 - 2015

 
Waliotarajia CHADEMA iwe imekufa,watasubiri sana.
Iko hivi Mkuu SS wataweza kuwaua Wana Chadema mmojammoja lakini hawawezi kuiua Chadema,kwa maana Chadema Ni Roho,na Roho hua inaelea hewani tu,haionekani inamwingia mtu tu.Kwa kifupi Chadema Ni Roho ya Kisiasa.
"Chadema is good political spirit"
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom