Let us unite to fight CCM.Hahahaha.... Hii ndiyo raha ya CHADEMA.
M4C hadi U.S.A
You guyz mmenisisimua sana, wewe Linda leta hiyo sample ya gwanda maana la aina yake nataka niwe wa kwanza kutoka nayo hapa bongo kabla hawajaniwahi.
Kwa akili hizi za makalioni ndio maana mkauza mpaka Twiga ndio maana kila mtu mnadhani naye ni Mzee wa10%. nyinyi ni maiti hai.Bei yake mtaiweza $100 kila Gwanda moja Matola, anapata $5 kila Gwanda kama dalali.