Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
CHADEMA sasa kuhesabu miezi ,wiki, sku, saa, dakika, sekunde, kuongoza bunge la jamuhuri ya muungano (TANZANIA) ni baada ya kubainika ya kuwa asilimia 69, ya wanawake waliyo kuwa wakiipigia ccm kura kubadili mtazamo wao na hii ni kutokana na opresheni sangara inayo ongozwa na kamanda mbowe, na kurugenzi zake kama , mrema , chitanda , msafiri, regia mtema , halima mdee, na wengine wengi, kukubalika vilivyo tena kwa usibitisho wa dhahiri, wabunge wa ccm wengi wao kwasasa wanatazama jinsi gani ya kuingia chadema ilikutetea viti vyao, ilala kwa CHADEMA wasema mafisadi hawatapata nafasi kupitia CHADEMA , kazi ni moja kuwaondoa kabisa kwenye ulingo wa kisiasa
Mkuu napinda bunge la mwaka huu liwe na nguvu na upinzania wa uhakika but sio ule wa kenya kuchapana makonde, i like the sprit of CHADEMA, ili cjui kama itafika au kuzidi 69% unaweza kuzibitisha kwa hilo