Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
Laiti Kinana angejua kuwa maeneo uote aliyohutubia CCM haina hata m/kiti mmoja wa serikali ya mtaa asingepoteza muda wake.
Nape kuwa muungwana...hivi Mbowe lini alichukua lile gari? What i know kwamba alilikataa.
Acha uongo, usiwe kama Mwenyekiti wako, hakuna video wala nini..!!sasa hayo mapovu ya nini mjomba , kama unataka kujua kinachoendelea si useme nikuwekee video clip bhana !
Samahani Kiongozi,,umeandika kwa fazaha kubwa.Tatizo la watanzania ni wanafiki sana wakati bunge la katiba mlilalamika ,wapinzani wanawasaidia kuwasemea matatizo yenu leo mmesahau yote mnashabikia ccm. Tena pamoja na wapinzani kuwasemea ndani ya bunge na nje ya bunge bado elimu haijawakomboa kweli nimeamini ccm imewaloga watanzania kweli shidaaaaa zote hizi miaka mitano hii ya mwisho wakulima wamezulumiwa pesa wafugaji wsmedhurumiwa wananch mmedhurumiwa tena leo mnamshangilia ccm kweli hii dhambi ya unafiki hii utatumaliza watanzania hivi nani katuroga. .
Ukisoma kwa makini utagundua kuwa CCM ,viongozi na wanachama wake ndio walioumbuka
waliohaidi meli ziwa victoria mpaka sasa hazijafika ni chadema au ccm ukishapata jibu ndio utajua nani anatoa ahadi hewa
Mfa Maji na Chama Chake Cha Mafisadi (CCM), Haachi Kutapatapa. Hivi Wizi na Ufisadi unaofanywa na CCM Kweli una Mfano wake kwa Vyama Vya Upinzani.
nilifikiri naongea na mtu mwelewa kumbe hamna kitu nitajie hata meli moja ambayo imepilekwziwa victoria halafu rejea ahadi za mgombea urais kupitia ccm mwaka 2010Umekaa sehemu kuna 4G unatuma post tu hapa kisha unasema hakuna kilichofanyika, Kweli masikini akipata.
.Umechanganyikiwa, sio bure.
Kwa hiyo unashindanisha wezi katika wizi..
Umechanganyikiwa, sio bure.
Kwa hiyo unashindanisha wezi katika wizi..
Samahani Kiongozi,,umeandika kwa fazaha kubwa.
Ukisoma utaona kuwa andiko lako lina makosa makubwa sana ya kiuandishi..siku nyingine punguza povu, andika kwa utaratibu tu.