CHADEMA yatumia mbinu za Mugabe na Jubilee

CHADEMA yatumia mbinu za Mugabe na Jubilee

Chadema hawafanani na Mugabe wala Jubilee ila wanafanana na Odinga na Tshvangilai maana wote ni vibaraka wa wazungu magharibi kama chadema.

Andika jibu lililo sahihi: Kwa mtazamo wako ni chama gani ambacho kinajikomba kwa mabalozi na hata kuwapa uniform zao ili wazivae kwenye mikutano yao? A: ADC
B: CHausta
C: CCM
D: NCCR-Mageuzi
E: Chadema
F: TLP
G: UDP

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mdharau mwiba huota tende. Juzi nikiwa njia nimeshangaa kuona bendera za CDM njia nzima. Na zilongezeka sana kuanzia Sherui kuja Singida eneo la misigiri ndo baraa. Hiyo ni picha halisi kuwa hawa CDM kwa sasa si wa kubeza hata kidogo. Kinana akimaliza ziara arudi kwa barabara ajionee kazi ya CDM huko vijijini.
bendera zinapiga kura? vodacom mabango yao yako njia nzima wakisimamisha wagombea watashinda?
 
Andika jibu lililo sahihi: Kwa mtazamo wako ni chama gani ambacho kinajikomba kwa mabalozi na hata kuwapa uniform zao ili wazivae kwenye mikutano yao? A: ADC
B: CHausta
C: CCM
D: NCCR-Mageuzi
E: Chadema
F: TLP
G: UDP

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
262.jpg
 
Hizo ni opinion zako mleta mada ila kaa ukijua CCM bado inanguvu na bado inauwezo mkubwa wakutetea viti vyake na kwakila chaguzi zitazotokea hapa nchini hata Chadema ifike chini ya bahari bado CCM kila eneo ishaota mizizi na haiwezi ng'olewa kwa upepo wa mvua za vuli wala kimbunga cha Katrina...KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Hizo ni nguvu za policcm na wala siyo nguvu ya hoja upooo!hakika wananchi come 2015 hawataki ccm tena.Peoplesssssssssssss!
 
Hili ni jukwaa la great thinker ur not among of them toa ushudu huuu

Kama ni ushuhuda nenda ktk kanisa la gamba mwenzenu Mikocheni assemblies of God nina maana ya kwa mama Lwakatare!
 
Hizo ni nguvu za policcm na wala siyo nguvu ya hoja upooo!hakika wananchi come 2015 hawataki ccm tena.Peoplesssssssssssss!

fine we shall meet from there..usije kukana haya maneno yako,CCM inaunda serikali na serikali ina miliki dola ukienda kinyume kwa kuleta mihemko yako ya kisiasa basi utashughulikiwa ipasavyo,CCM inalindwa na wananchi na sera zake
 
fine we shall meet from there..usije kukana haya maneno yako,CCM inaunda serikali na serikali ina miliki dola ukienda kinyume kwa kuleta mihemko yako ya kisiasa basi utashughulikiwa ipasavyo,CCM inalindwa na wananchi na sera zake

Ukweli utabaki pale pale kwamba CCM ni kama bi kizee imepoteza mvuto kabisa kwa wananchi msaada pekee uliobaki ni policcm na kina Ighondu kwisha!
 
Time will Tell Ila Chadema Ndo Habri Ya Wapiga Kura!! Mungu Ibariki Tanzani Ibarika Chadema
 
Ukweli utabaki pale pale kwamba CCM ni kama bi kizee imepoteza mvuto kabisa kwa wananchi msaada pekee uliobaki ni policcm na kina Inghondu kwisha!

imepoteza mvuto kwako peke yako usilazimishe kisicho lazimishika bwana
 
Back
Top Bottom