CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

Status
Not open for further replies.
huyu kijana zitto ana akili mno mbaya zaidi anapendwaaaaaaaaaaaaaa
 
hiki chama ni genge la wahuni watupu na wazinzi wa kutupwa, hakauna anayejua siasa pale zaidi ya mihemuko ya mwili
 
Muombe mungu uwepo duniani kwa miezi mingine mitatu utayaona maajabu ya zitto wala hutaamini hao wazee wako wapika gongo watatafutana sana hawatajua hata mlango walioingilia.

Maajabu gani aliyonayo zitto, labda kutoa mikono kama alivyofanya kwa mh. Mudhihiri, lkn kwa watz kwisha habari yake. Tumetupa kwenye dustbin.
 
Niwahi kusema kuwa kama mbowe na slaa hawamuomba msamaha zitto adhabu yao kwa watanzania haipimiki wala haikadriki mda si mrefu mtayaona.

Hicho kichwa cha habari ndo kinakufanya uwehuke kiasi hiki?
 
hivi gazeti hili ni mali ya nani! weka na bajeti ya birthday ya ccm mbeya ni shillingi ngapi! kwaa taarifa za ndani wemetumia zaidi ya billion 1.3
 
Aisee pesa iko huko chadema wewe unatakiwa uwe karibu na Mwenyekiti na katibu

Utakula tender ya mafuta ya chopa; chopa yenyewe, t-shirts production, perdiems..

Vijana changamkieni furs hizo
 
Zitto anaitesa CCM kwa kulamba mamilioni yao bila kukamilisha kazi.
 
Kubenea unamsikia alipangishiwa nyumba na mbowe ili amchafuwe zzk sasa kafa kabisa amerudi kwao mafia maisha ya mjini yamemshinda nani atamchukuwa kwenye gazeti lake wakati alizoeya kuchafuwana sasa yamemkuta yeye namafia hakuna ospital sijui mabaki ya tindikali yatatibiwa wapi __________zito anauwezo mkubwa tunasubiri tu kipenga atutangazie tubaki ama tuhame
 
Udaku hivi unalijua gazeti hili linamilikiwa na nani? Kuna kipindi gazeti hili lilikuwa linagawiwa bure mitaa ya mbezi makondeko sasa jiulize ni gazeti hili linamilikiwa na nani? Hata kwenye kuperuzi aliyawahi kupenya
 
Haya ndio yale Magazeti yanayouzaga nakala 20 nchi nzima!
 
Aisee pesa iko huko chadema wewe unatakiwa uwe karibu na Mwenyekiti na katibu

Utakula tender ya mafuta ya chopa; chopa yenyewe, t-shirts production, perdiems..

Vijana changamkieni furs hizo
Hakuna huduma kama hizo CDM, hao ni CCM.
 
Maajabu yapi! Mnataka kumpa uenyekiti wa CCM taifa?

Zito hawezichezea mtaji wake kisiasa kujiunga CUF wala CCM. Atang'ara zaidi akiendaa NCCR au yeye na wenzake wakaunda chama kipya! Tunamngoja kwenye vyama vya upinzani vya watu makini wanaoangalia demokrasia na utaifa kwanza!

 
huyu kijana zitto ana akili mno mbaya zaidi anapendwaaaaaaaaaaaaaa

Watajuta kumfahamu zitto,haki ya mungu nawaambieni.

Sasa hivi katulia sana anawasubiri wamalize ili aanze na mbowe,naye tayari amepata pesa za kuzunguka nchi nzima yeye naye atatumia helkopta!!

Hapa lazima mbowe atajinyea tu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom