CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

Status
Not open for further replies.
Niwahi kusema kuwa kama mbowe na slaa hawamuomba msamaha zitto adhabu yao kwa watanzania haipimiki wala haikadriki mda si mrefu mtayaona.

kwani wasipomuomba msamaha... sio ndio vyema ili chadema isambaratike!! au ww unataka cdm iendeleee kustawiiii!??????
 
Mahesabu ya CDM wanajuawa Mboe,Slaa na Komu tu,Zitto jembe!!! wakanda wanaogopa mpaka kivuli chake.watabana wataachia.
 
tutahakikisha tunaikomboa nchi hii kwa gharama yoyote .
 
Muombe mungu uwepo duniani kwa miezi mingine mitatu utayaona maajabu ya zitto wala hutaamini hao wazee wako wapika gongo watatafutana sana hawatajua hata mlango walioingilia.

Mnajipa matumaini kwa kujitoa akili na Zitto, Lowassa lazima awatagishe kipindi hiki
 
Last edited by a moderator:
kwenye dakika 45 itv jana usiku, tundu lissu ambaye ni mwanasheria mkuu wa chadema amekiri kuwa ishu ya zitto ni nzito na imekigharimu chama. wewe upo nchi gani?

Ukiambiwa imekigharimu chama wewe unajua ni pesa tuu? Uliambiwa gharama maana yake pesa pekee? Kajifunze upya lugha maana unaonekana kila jambo unalichukulia juujuu tu.
 
Tehteh gazeti la changamoto tazama tanzania ni magazeti yanayouzwa posta na lumumba
 
kwenye dakika 45 itv jana usiku, tundu lissu ambaye ni mwanasheria mkuu wa chadema amekiri kuwa ishu ya zitto ni nzito na imekigharimu chama. wewe upo nchi gani?

ccm kwa kupitia matamko ya makada mbalimbali,imekiri kuna mnyukano mkali ktk kumsimamisha mgombea atakaye peperusha bendera ya mgombea kiti cha uraisi.pia ccm inakiri nguvu kubwa aliyonayo EL.inakiri asipo simamishwa chama kitakufa.we upo nchi gani?
 
Kubenea unamsikia alipangishiwa nyumba na mbowe ili amchafuwe zzk sasa kafa kabisa amerudi kwao mafia maisha ya mjini yamemshinda nani atamchukuwa kwenye gazeti lake wakati alizoeya kuchafuwana sasa yamemkuta yeye namafia hakuna ospital sijui mabaki ya tindikali yatatibiwa wapi __________zito anauwezo mkubwa tunasubiri tu kipenga atutangazie tubaki ama tuhame


Huna haja ya kusubiri wewe ondoka tu na wala Chadema hatuna mwanachama anaemfuata(mfuasi)mtu ndani ya chama lah,wafuadi wote wa Chadema ni wafuasi wa katiba ya chama na sio wafuasi wa watu fulani..
 
Na wewe zitto ulishamkaribisha chumbani akakupula,ndio maana unawaza kupulwa tu,kama yanakuwasha muite tena!!

niitie niwagonge majicho wote wawili,ni bora nimpe hizo milioni kwa ajiri ya kuharibu bikra yake.kulizo milioni anazopewa na gambaz ili kuchelewesha ukombozi
 
mg29-w480-h5803.jpg


wakati hali ni mbaya katika ofisi za chama hicho mikoani na wilayani, viongozi wa taifa wanatumia mabilioni ya fedha kurusha helkopta.

kinana hajakanusha kuleta wachina kumaliza tembo wetu mbugani na ndiye anasifiwa na kikwete hapo kuna chama kweli?
 
Chezea signature yangu wewe? Niliiweka mwaka juzi na siibadilishi mpaka vibaraka wote ndani ya chama kubwa wajulikane. Hata kama ni SLAA au MBOWE waende, hata kama ni MTEI aende; sisi tutabaki na MUNGU. Chama ni sisi wanachama hivyo mtu mmoja hawezi kuwa bora kuliko chama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom