CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

CHADEMA yatumia bilioni moja kumshughulikia Zitto

Status
Not open for further replies.
Kisiasa hivi sasa Zitto ni mzoga, wanaomshughulikia ni fisi (maccm).
 
Zito hawezichezea mtaji wake kisiasa kujiunga CUF wala CCM. Atang'ara zaidi akiendaa NCCR au yeye na wenzake wakaunda chama kipya! Tunamngoja kwenye vyama vya upinzani vya watu makini wanaoangalia demokrasia na utaifa kwanza!

hapo kwenye blue ndio habari ya mujini kwa sasa. lazima tulipiganie taifa letu by hooks and cooks
 
CCM kwa kumtumia ZZK ilitumia zaidi ya trilion 50 kuisambaratisha CDM.mpaka leo cdm bado ipo IMARA.lol
 
View attachment 137077

hii ndio sababu kubwa ya haya yote

ImageUploadedByJamiiForums1391494703.970316.jpg
 
hivi gazeti hili ni mali ya nani! weka na bajeti ya birthday ya ccm mbeya ni shillingi ngapi! kwaa taarifa za ndani wemetumia zaidi ya billion 1.3

anzishia mada tujadili mmiliki wa gazeti na pia kiasi kilichotumika kwenye birthday ya ccm. hapa tunajadili bilioni moja iliyotumiwa na chadema kumshughulikia zitto
 
CCM kwa kumtumia ZZK ilitumia zaidi ya trilion 50 kuisambaratisha CDM.mpaka leo cdm bado ipo IMARA.lol
kwenye dakika 45 itv jana usiku, tundu lissu ambaye ni mwanasheria mkuu wa chadema amekiri kuwa ishu ya zitto ni nzito na imekigharimu chama. wewe upo nchi gani?
 
Vigazeti uchwara hivi, habari zake ni za kupika tu pale Lumumba. Waandishi wake hadi wa hariri ni waganga njaa kwa vigogo wa CCM.
 
Hata Zitto mwenyewe akikusikia unamsifia ATAKUDHARAU mara moja,ZITTO sio kilaza kiasi cha kuacha kutambua NAFASI yake kwenye siasa za tanzania.
Kwa kifupi,Zitto ni lecturer mtarajiwa na hivyo hana madhara yoyote kwa chama alichowahi kukitumikia.
 
Kweli cdm imewakalia pabaya wataanzisha magazeti kwa ajili ya cdm. Kweli cdm ni habari ya Mujini bila kuitaja akina Simiyo hawaendi choo
 
Sasa wewe umetoa hoja gani zaidi ya ulimbukeni?

Niliyoyatoa yametokana na ujinga wako uliouandika kutokana na akili zako za mavi!

Lazima tukwambie uache ujinga wako,ulitaka uachwe tu bila kuambiwa kwamba akili yako imejaa mavi?!

Jinga kweli wewe!!
 
Kama wewe ulivyomkaribisha akamalizana na wewe?!

Ha ha ha ha ha ha wewe tunajua hiyo ni kazi yako usitake kuwaambukiza wenzako!!

ni msukuma wa kwanza kumuona anajikesha chekesha.naamini CCM ''wamekupula'',sio bure
 
Zitto mzito kweli sacoos imetoboka kwa sababu yake na bado kijana jina lake linazidi kungara ndo matajua makengeza na kibabu cha gongo akili hawana kazi yao kuwavua nguo viti maalumu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom