Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #21
Bakwata walishiriki au walisusa?
Mkuu kwenye haki na ukweli hakunaga unafiki. hapa hata familia marehemu pamoja na kuwa waislamu, wamethibitisha wenyewe kuwa chadema siyo chama cha kidini. tafsiri yake ni kwamba ccm ni chama cha kidini, hasa cha kiislamu.
Mapambano yanaendelea!