Chadema yatawala vyombo vyote vya habari vya dunia ( local & International )

Pascal, hebu jaribu kuitafakari logic iliyopo kwenye club za mpira wa miguu pale zinaposhindana! Hata uwe na timu nzuri kiasi gani yenye wacbezaji makini na wanaoujua mchezo kama waamuzi na makamisaa wakiwa na upande usitarajie ushindi kwa timu hiyo! The same applied kwenye siasa za bongo ambazo dola ndio waamuzi na kwa kuwa wana upande ambao ni mwajiri wao kwa wakati huo usitarajie kuuona ushindi ukienda kwa timu inayoaminishwa kwao kuwa itawaharibia ajira na maslahi yao! Hebu siku moja kuwe na fair ground uone maajabu!
Hakuna asichokijua , bali anasumbuliwa na njaa tu na hofu ya kufa .
 
CHADEM
Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko miaka ya zamani akidai kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " akimaanisha kwamba Chama cha siasa ni lazima kijitangaze kwa wananchi kwa njia ya maandamano na mikutano ya hadhara , ikumbukwe kwamba enzi hizo hakukuwa na JF , INSTA wala FACEBOOK .

Baadhi ya wanasiasa wachovu na wenye akili mgando wakadhani wakidhibiti maandamano na mikutano ya hadhara majukwaani basi wanaweza kudhibiti harakati halali za vyama vya kisasa vya leo , wameishia kufeli vibaya sana ! Ukiangalia leo kwenye mitandao yote ya dunia hii ikiwa ni pamoja na vyombo vizito kabisa vya kimataifa habari zilizoshika chati ni habari za Chadema , hadi inaboa aiseee ! kumbe unaweza kudhani unawakomoa wengine huku bila kujua unawapaisha vibaya mno ! Hakika nguvu ya Chadema kwa sasa inatisha !

Baadhi ya watu wa mipakani wanasema kwamba huhitaji viza kuvuka mpaka , onyesha kadi ya chadema tu uruhusiwe kupita bila shida ! jambo hili ni ishara ya nini ?

Mungu ibariki ChademaView attachment 944485
CHADEMA ni chama changu na nakipenda kwa dhati,ila hv sasa hata ukiwaomba viongozi ''ROAD MAP'' sidhan km wanayo. Nasikitika kuona chama kimekuwa kama gari lisilo na taa liendalo safari za usiku.
 
Kuhusu nguvu ya Chadema kutisha kwenye media, na mitandao ya kijamii ni kweli, ila siasa pia ni sayansi ya siasa, political science, ili hiyo nguvu inayotisha, inatakiwa ipimwe kwa matokeo where it matters most, kama ilivyo nguvu ya mamba, mumaji, hivyo nguvu ya Chadema inayotisha, inamatter wapi?. Au kutisha tuu kwenye media na mitandao ya kijamii, lakini tukija kwenye where it matters most, Chadema ni hakuna kitu kabisa!. Kanisome hapa

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!. - JamiiForums

P
Mkuu Pascal, kwa chadema ya sasa hii tuliyonayo sidhani kama kuna watu wenye uwezo wa kuona mambo kwa taswira pana kama hiyo unayoiona wewe. Wengi wao wana mtazamo finyu with lots of porojos. Jaribu kuwauliza mambo simple kama haya uone watakavyokujibu:
1. Kuelekea 2020, chadema mna nini cha kujivunia cha kuwaonyesha au kuwaambia wananchi ili wawaamini na kuwapa uongozi wa nchi? (Sana sana utasikia porojo tu za kuilaumu ccm na JPM).
2. Halmashauri za miji na wilaya zilizo chini ya chadema zinajipambanuaje kiuongozi na kimaendeleo ukilinganisha na zile zilizo chini ya ccm?
3. Ona walivyoshindwa kujiadjust ili kuweza kuendana na kasi ya JPM, badala yake wakafuata strategy ya lissu ya kupinga kila kitu!
Chama kinachokosa majibu yenye mantiki kwa mambo kama hayo na badala yake kuishia kuilaumu na kupinga tu kila kitu, hicho chama ni hopeless.
 
CHADEM

CHADEMA ni chama changu na nakipenda kwa dhati,ila hv sasa hata ukiwaomba viongozi ''ROAD MAP'' sidhan km wanayo. Nasikitika kuona chama kimekuwa kama gari lisilo na taa liendalo safari za usiku.
Mkuu, mimi siyo wanachama, lakini niliipenda sana chadema, tatizo mi hilo, chama sasa hivi hakina vision (road map) yoyote. Mtu ukisema hivyo unaambulia matusi na kuitwa mwanaccm! Too bad!
 
Ahaaaa unajua tunashida moja uwezi kupinga kila kitu tuwe wa kweli Mh Rais yapo mengi tu mazuri amefanya mengi sna lkn khs watumishi wake kuwa na kauli za ajabu kuonea raia kumekuwa kwingi naisi kuliko chini ya miaka 1961 jeshi la polisi likuwa na nguvu kubwa sna Rushwa imekuwa kubwa sna Binadam tunaitaji sna Uhuru wetu kuliko hata maendeleo ya vitu...
Mkuu Rubawa, hakuna ubishi kuwa rais Magufuli anafanya maendeleo mengi, makubwa, mazuri, ila ni maendeleo ya vitu na sii maendeleo ya watu. Tumeuliza humu
Je, Maendeleo ya Kweli ni Maendeleo ya Watu au Vitu?- Wachumi Tusaidieni, Magufuli Analisaidia Taifa au Ataliangamiza?. - JamiiForums
P
 
Mkuu Pascal, kwa chadema ya sasa hii tuliyonayo sidhani kama kuna watu wenye uwezo wa kuona mambo kwa taswira pana kama hiyo unayoiona wewe. Wengi wao wana mtazamo finyu with lots of porojos. Jaribu kuwauliza mambo simple kama haya uone watakavyokujibu:
1. Kuelekea 2020, chadema mna nini cha kujivunia cha kuwaonyesha au kuwaambia wananchi ili wawaamini na kuwapa uongozi wa nchi? (Sana sana utasikia porojo tu za kuilaumu ccm na JPM).
2. Halmashauri za nini na wilaya zilizo chini ya chadema zinajipambanuaje kiuongozi na kimaendeleo ukilinganisha na zile zilizo chini ya ccm?
3. Ona walivyoshindwa kujiadjust ili kuweza kuendana na kasi ya JPM, badala yake wakafuata strategy ya lissu ya kupinga kila kitu!
Chama kinachokosa majibu yenye mantiki kwa mambo kama hayo na badala yake kuishia kuilaumu na kupinga tu kila kitu, hicho chama ni hopeless.
Spika wa bunge kaudanganya umma? - JamiiForums

Huo hapo ni mfano labda uwe na jambo lako linakusumbua kuhusu chadema.
 
CHADEM

CHADEMA ni chama changu na nakipenda kwa dhati,ila hv sasa hata ukiwaomba viongozi ''ROAD MAP'' sidhan km wanayo. Nasikitika kuona chama kimekuwa kama gari lisilo na taa liendalo safari za usiku.
Watanzamia mnatia huruma wengi hamfuatilii mambo shida ni nini? Hakuna chama makini na chenye watu wenye tija kwa taifa hili kama chadema michango yao yote inayopuuzwa na ccm ni uelekeo wa taifa huwa una vision pata wasaa kusikia haya kwa uchache kisha soma post yako

Spika wa bunge kaudanganya umma? - JamiiForums
 
Magufuli angejifunza kwa wenzie makaburu wa Afrika Kusini, ambao walimfunga Mzee wetu Mandela kifungo cha miaka 28, kwa makosa ya kubambika eti uhaini!

Lakini Mungu si wao makaburu......

Mzee wetu Mandela alitoka huko jela na akawa Rais wa kwanza mwafrika mweusi kuitawala Afrika Kusini, na akajizolea umaarufu mkubwa sana hapa duniani na inasemakana ndiye binadamu aliyekuwa maarufu zaidi duniani kati ya binadamu walioishi kwenye karne ya 20!
Umaarufu wa Mandela ulitengenezwa na hao hao makaburu ili wapate sympathy ya Mandela na waendelee kubaki na kuwanyonya wa SA, kwangu binafsi sijaona lolote jema ambalo Mandela amelifanyia bara la afrika katika kuondokana na kutawaliwa na wazungu. Kuna watu wametumia rasilimari pamoja na nguvu zao nyingi kwaajili ya bara na waafrika kwa ujumla
 
Pascal, hebu jaribu kuitafakari logic iliyopo kwenye club za mpira wa miguu pale zinaposhindana! Hata uwe na timu nzuri kiasi gani yenye wacbezaji makini na wanaoujua mchezo kama waamuzi na makamisaa wakiwa na upande usitarajie ushindi kwa timu hiyo! The same applied kwenye siasa za bongo ambazo dola ndio waamuzi na kwa kuwa wana upande ambao ni mwajiri wao kwa wakati huo usitarajie kuuona ushindi ukienda kwa timu inayoaminishwa kwao kuwa itawaharibia ajira na maslahi yao! Hebu siku moja kuwe na fair ground uone maajabu!
Mnasihi, kwanza nakubaliana na wewe, the political playground ya the game of politics hapa nchini kwetu is not levels, hivyo ndivyo ilivyokuwepo tangu tumerejea kwenye vyama vingi ile 1992. Wapinzani kila kabla ya mchezo, wanasign kuzikubali the rules of the game, na kumkubali refa, kisha wanapeleka timu uwanjani, ukishindwa katika mazingira hayo huwezi kulalamika the game was not fair, refa anapendelea au uwanja hauko levels.

Kama unawachezaji mahiri na wafungaji mabao wazuri, then ungepiga mabao mengi, hata refa apendelee vipi, ayakatae mengine kuwa ni ya kuotea, bado inatakiwa na mabao ya kutosha, unless kama na refa wa huku angefanya kama Zenj, alipoona timu yake imeelemewa kufika dakika ya 89, akapuliza kipenga cha kipenga cha kuvunja pambano, akatia mpira kwapani na kutokomea, Kwa Tanzania bara hili lisingewezekana.

Mchezo wa siasa ni mchezo mchafu, politics is a dirty game, na pia siasa ni sayansi, political science, CCM ina play dirty games, ili Chadema ishinde, haziwezi kuplay dirty kwa sababu haina dola, haina tume, haina polisi haina jeshi, etc, hivyo the only way out ni ku apply the science of politics kwa kukijua CCM inawashindia wapi, au foul zinachezwaje.

Foul kubwa ni in tempering with the numbers kwenye final tallying. Kwa vile wanaopiga kura ni Watanzania, na sio wana CCM pekee, na matokeo ya kila kituo yanabandikwa kituoni, then the magic ya ushindi ni watu na sio CCM, sio. Tume sio polisi,its the people.

Kama Chadema itawafikia watu wengi, itawahamasisha kujiandikisha, na kujitokeza kuipigia kura, na ikapata kura za kushiba, hata uchakachue vipi, bado mshindi atabaki kuwa mshindi na ndio maana kuna wabunge wa upinzani wameingia bungeni.

Ile 2015 Chadema ingekuwa serious ilikuwa inaingia kabisa ikulu, take time kunisoma hapa nilishauri nini

Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni .....! - JamiiForums

Sasa kwa uchaguzi wa 2020, kwa mwendo huu Chadema inaokwenda nao, sijui kama kuna Mbunge au Diwani wa Chadema atarudi Bungeni, na ikitokea wakarudi, then ni individual efforts za diwani au Mbunge binafsi na sio strategy ya Chadema kama chama, ndio maana nimeshauri humu kuhusu hawa wanaohama Chadema kuhamia CCM
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
 
Hilo ndio tatizo kubwa la viongozi wa kiafrika, wanashindwa kujua kuwa huwezi kubalika na watu wote, hivyo tegemea kupingwa na kukoselewa. Hata tawala za kifalme zilikuwa zinakutana na changamoto hiyo
Kibaya zaidi hakuwadhuru watesi wake, sipati picha bashite ndo ashike usukani huo mama la visasi
 
Mkuu Pascal, kwa chadema ya sasa hii tuliyonayo sidhani kama kuna watu wenye uwezo wa kuona mambo kwa taswira pana kama hiyo unayoiona wewe. Wengi wao wana mtazamo finyu with lots of porojos. Jaribu kuwauliza mambo simple kama haya uone watakavyokujibu:
1. Kuelekea 2020, chadema mna nini cha kujivunia cha kuwaonyesha au kuwaambia wananchi ili wawaamini na kuwapa uongozi wa nchi? (Sana sana utasikia porojo tu za kuilaumu ccm na JPM).
2. Halmashauri za nini na wilaya zilizo chini ya chadema zinajipambanuaje kiuongozi na kimaendeleo ukilinganisha na zile zilizo chini ya ccm?
3. Ona walivyoshindwa kujiadjust ili kuweza kuendana na kasi ya JPM, badala yake wakafuata strategy ya lissu ya kupinga kila kitu!
Chama kinachokosa majibu yenye mantiki kwa mambo kama hayo na badala yake kuishia kuilaumu na kupinga tu kila kitu, hicho chama ni hopeless.
Mkuu UmkhontoweSizwe, kuna vitu kuhusu Chadema, ukisema humu, wenyewe wanakasirika, hawataki kusikia mapungufu yao, watakubeza, kukuita gamba na wengine hata kukutukana, ila sisi wenye ngozi ngumu, tunaendelea tuu kusema na kuwaambia ukweli, no matter what.
P
 
Mkuu, mimi siyo wanachama, lakini niliipenda sana chadema, tatizo mi hilo, chama sasa hivi hakina vision (road map) yoyote. Mtu ukisema hivyo unaambulia matusi na kuitwa mwanaccm! Too bad!
Afadhali umeliona hilo mkuu, huwa nasikitishwa sana kuona wanachama wenzangu wakiwajaza vichwa viongozi angali chama kinakwenda kwa mtindo wa kujiua chenyewe. Wenye mawazo mgando wamebaki kulalamika kuwa CCM wananunua watu wetu, hivi kweli kipindi cha awamu ya NNE walishindwa kuwanunua?

Mfumo unaotumika saiv wa kuzua vijimambo hautusaidii chochote kwa maendeleo ya chama. Nashauri turudi kwenye misingi yetu na tutazidi kuimarika, kuliko kuendeleza hizi propaganda za saiv zisizo na tija yoyote kwa maendeleo ya chama
 
Watanzamia mnatia huruma wengi hamfuatilii mambo shida ni nini? Hakuna chama makini na chenye watu wenye tija kwa taifa hili kama chadema michango yao yote inayopuuzwa na ccm ni uelekeo wa taifa huwa una vision pata wasaa kusikia haya kwa uchache kisha soma post yako

Spika wa bunge kaudanganya umma? - JamiiForums
Mkuu maana yangu mimi ni kwamba kabla ya mwaka 2014 CHADEMA ilikuwa na vision nzuri sana na hakuna wa kupinga hilo. Baada ya hapo chama kimekuwa kinacheza kama mpinzani anavyocheza, kwa hali hiyo ni rahisi sana kupoteza mchezo. Hivi sasa chama kimeacha misingi yake na kuanza siasa za propaganda zisizo na tija yoyote kwa chama.
 
Back
Top Bottom