Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,441
Mwl Nyerere aliwahi kunukuliwa huko miaka ya zamani akidai kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " akimaanisha kwamba Chama cha siasa ni lazima kijitangaze kwa wananchi kwa njia ya maandamano na mikutano ya hadhara , ikumbukwe kwamba enzi hizo hakukuwa na JF , INSTA wala FACEBOOK .
Baadhi ya wanasiasa wachovu na wenye akili mgando wakadhani wakidhibiti maandamano na mikutano ya hadhara majukwaani basi wanaweza kudhibiti harakati halali za vyama vya kisasa vya leo , wameishia kufeli vibaya sana ! Ukiangalia leo kwenye mitandao yote ya dunia hii ikiwa ni pamoja na vyombo vizito kabisa vya kimataifa habari zilizoshika chati ni habari za Chadema , hadi inaboa aiseee ! kumbe unaweza kudhani unawakomoa wengine huku bila kujua unawapaisha vibaya mno ! Hakika nguvu ya Chadema kwa sasa inatisha !
Baadhi ya watu wa mipakani wanasema kwamba huhitaji viza kuvuka mpaka , onyesha kadi ya chadema tu uruhusiwe kupita bila shida ! jambo hili ni ishara ya nini ?
Mungu ibariki Chadema
Baadhi ya wanasiasa wachovu na wenye akili mgando wakadhani wakidhibiti maandamano na mikutano ya hadhara majukwaani basi wanaweza kudhibiti harakati halali za vyama vya kisasa vya leo , wameishia kufeli vibaya sana ! Ukiangalia leo kwenye mitandao yote ya dunia hii ikiwa ni pamoja na vyombo vizito kabisa vya kimataifa habari zilizoshika chati ni habari za Chadema , hadi inaboa aiseee ! kumbe unaweza kudhani unawakomoa wengine huku bila kujua unawapaisha vibaya mno ! Hakika nguvu ya Chadema kwa sasa inatisha !
Baadhi ya watu wa mipakani wanasema kwamba huhitaji viza kuvuka mpaka , onyesha kadi ya chadema tu uruhusiwe kupita bila shida ! jambo hili ni ishara ya nini ?
Mungu ibariki Chadema