PostGE2025 CHADEMA yataka Tanzania iongozwe na UN au SADC

PostGE2025 CHADEMA yataka Tanzania iongozwe na UN au SADC

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ANTDOTE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2023
Posts
280
Reaction score
713
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣
kwani wewe ulikuwa unasemaje mkuu
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣
Sasa hawa WAHUNI wanaoongoza sasa wana tofauti gani na WAKOLONI? Tena afadhali hata wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo just imagine 1905 walikuwa washajenga reli....nyinyi mmbekidhiwa nchi miaka 64 mmeshindwa kuleta maji wakati tumezungukwa na water bodies kama zote.
 
Sasa hawa WAHUNI wanaoongoza sasa wana tofauti gani na WAKOLONI? Tena hafadhali hata wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo just imagine 1905 walikuwa washajenga reli....nyinyi mmbekidhiwa nchi miaka 64 mmeshindwa kuleta maji wakati tumezungukwa na water bodies kama zote.
Hafadhali ni kitu gani? Nyie kwa miaka 30 mlishindwa tu kuwa na ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha Upinzani pamoja na ruzuku mlizokuwa mnapata.
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣

..ungeambatanisha na VIDEO.

..siku hizi ukiweka bandiko lako bila video clip kama ushahidi wasomaji wanapuuzia.

..Chadema wanaweza wasiwe sahihi 100% lakini hawako mbali sana na ukweli.

..Kwa hapa tulipo tunahitaji msaada toka jumuiya za kimataifa kama SADC, UN, Commonwealth, kutusaidia kujikwamua.
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣


Kama una akili timamu, lazima utaona kuwa ni aheri uongozwe na yeyote, lakini siyo shetani muuaji.
 
Heche ana uwezo mdogo sana kiakili. Hajui kuwa UN, AU, SADC hata ICC ni taasisi za kihuni zisizo na meno? Huko DRC wakongomani wanauwawa kama nzi ila hizo jumuiya za kimataifa hakuna kitu wanafanya. Kimsingi CHADEMA ya sasa imejaa watu wenye uwezo mdogo sana wa kujenga hoja. Sugu yuko bize mitandaoni kutukana watu "matako".. Lema kawa nabii feki. CHADEMA chini ya Lissu ni kituko.
 
Hafadhali ni kitu gani? Nyie kwa miaka 30 mlishindwa tu kuwa na ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha Upinzani pamoja na ruzuku mlizokuwa mnapata.

Jikite kwenye context na si Typo ,ukiona mtu anashadadia Typo jua umempiga kwenye MSHONO.

Two wrongs don't make it right - CDM haiongozi nchi ,nyinyi ndiyo mnaongoza nchi mnakusanya kodi na mnauza rasilimali kwa wazungu kwa pesa kibao ,hiyo ruzuku wanaopewa chadema haitoshi hata kulipa staffs wa HQ achilia mbali viongozi nchi nzima.
 
GAZA WALIAMINI WANALINDWA NAHAYO YA BAADHI YA MATAIFA YA ULAYA, WANAAMBIWA KAENI HIKU SALAMA, BAADA YA MUDA KOMBILA LINARUSHWA WANKUFA N AKUFA TENA NA TENA.
HAYO MAJUMUIA HAYAFANYI HAKI YOYOTE NI SAWA NA CCM TUU BASI TUSIPOTEZE MUDA TUJISHUGHULIKIE MWENYEWE KWA WENYEWE KWA MANUFAA YA NCHI YETU
 
Heche ana uwezo mdogo sana kiakili. Hajui kuwa UN, AU, SADC hata ICC ni taasisi za kihuni zisizo na meno? Huko DRC wakongomani wanauwawa kama nzi ila hizo jumuiya za kimataifa hakuna kitu wanafanya. Kimsingi CHADEMA ya sasa imejaa watu wenye uwezo mdogo sana wa kujenga hoja. Sugu yuko bize mitandaoni kutukana watu "matako".. Lema kawa nabii feki. CHADEMA chini ya Lissu ni kituko.

..Wacongo ndio wahuni kwa kushindwa kutumia fursa ya msaada wa UN, na SADC, kuweka mambo yao sawa.
 
..hata Mama Abduli ana maofisi makubwa, magari ya kifahari, na wasaidizi wasomi, lakini vyote hivyo havina msaada katika maamuzi na matamshi yake.
True

Shughuli za chama ni field na sio majengo .

Mimi nikiingia hapo chamwino au magogoni 2030 hakutakuwa na hayo mambo
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣
Usishindane na hii chama nakuonya utakufa na kukiacha, hivi kama Mwalimu akikubri na kukipa baraka zote ,wewe kidampa hupo na lipi kwa chama ichi, yoyote anenae mabaya kwa chama ichi atakufa vibaya mno
 
Kwa hisani ya JUNA:

"Leo Ndio nimeamini kuwa Chadema sio Chama Cha Siasa Bali ni NGO ya Wazungu, Yaani Makamu Mwenyekiti anawezaje kusema anataka Serikali ya Mpito itakayokuwa Nchini ya UN, Yaani Tanzania Leo iwe Koloni?

“CHADEMA inataka kuanzishwa kwa Serikali ya Mpito ambayo haitoongozwa na Samia Suluhu Hassan wala Serikali ya CCM, itakayoaminika na watanzania na jumuiya ya kimataifa”

“Itasimamiwa na mashirika ya kimataifa yenye kuamininika na yenye uwezo kama vile Umoja wa Mataifa, AU na SADC, itarejesha utulivu, haki za kisiasa na kiraia, itafungua anga la kisiasa na uhuru wa kujieleza, itaratibu uchaguzi mpya wa kitaifa kwa uwazi, uadilifu na uangalizi huru wa kimataifa”- John Heche.

🤣🤣🤣
Hao jamaa wangese sana,hicho chama kifutwe
 
Jiwe alitoa porojo kama hizi wakati bado unanyonya akakata moto na kuaicha chadema itakua nyie chawa watoto? Chadema akili kubwa hebu mkamalize shida ya maji kwanza msadieni malkia ana msongo wa mawazo kule vifua vipana vinaendelea kuua tu, chadema ya simba is here to stay and it’s not your league hata mama yenu anajua hilo
 
Akiongea heche ni sawa na ameongea mungu bora hata tungeongozwa na mujahidin wa taliban kuliko kuongozwa na samia na wahuni wenzake
 
Back
Top Bottom