Aisee!!! Hebu mkuu fanya utaratibu wa kuipata hiyo email uiweke hapa nasi tupate ushahidi huo......Mkuu wahurumie wazungu wamewapa mabilioni hawana ofisi ya kukutana na wageni wao wazungu Nina taarifa za uhakika kuwa mmoja WA Wafadhili ambaye ni bilionea alipokuja akaambiwa kikao kitafanyika hotelini na viongozi wa chadema aligoma Kata kata akitaka wakutane makao makuu ya chama. Wana chadema wasiopenda ufisadi wakapata email yake wakamrushia picha ya makao makuu akasema whaaaaat! Akafuta ziara na akaaapa haji fadhili vyama vya upinzani afrika ni matapeli wakubwa
hahaaaaUfipa kumejaa?
Too much sasa...kwa hali hiyo watakuwa wanazima mambo ya muhimu kwa kufanyia vikao Ikuku ili tupate mada kuongelea wiki nzima.
chadema ni moja ya vyama vya kijinga sana AfricaHivi nyinyi hoja yenu ni wanaccm kukaa pale ikulu? Au ni wanaccm kutumia rasilimali za serikali kichama?
Sijasikia watu wakiuliza kwanini serikali ilitumia rasilimali za ccm kuapishia wanajeshi pale arusha au hilo hamkuliona?
Mambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!
Huwezi kumpangia baba yako aitishe kikao wapi kwakuwa tu yule mke aliyenae siyo mama yako.Swali ni KWANINIWAMEFANYIA IKULU?? Si wana ukumbi wao Dodoma?? Kwanini wasingeenda huko??
Kuna mambo hayana 'athari' kwa UMMA.Kwahiyo Pale CCM wanapojimegea Umiliki wa Kila Jambo la Umma, Sisi Tunyamaze na Kupuuzia Kama Kwamba Hayatuhusu! Hapo Ndiyo unahisi Tutakuwa Tunaonesha Ustaarabu?
Kombe lifunikwe mpaka lini? CCM wamezoea upuuzi huu wa kufanyia mikutano yao Ikulu. Walipaswa kuchutama na kuacha tuhuma zipite badala ya kuibuka na majibu mepesi ati taratibu za kuomba kutumia Ikulu zilifuatwa.Wapinzani wasiwe watu wa matukio...Funika kombe mwanaharamu apite...
Kutojijua jinsi yako hakumaanishi huna jinsia. Si ajabu hata kuko unapodhani KUNAKERA ni umeshindwa tafsiri hizo hisia. Akina trump hawataki tena watu km nyie ktk jamii yao. Ni km kuwa na mwehu anayewasha moto ktk mtumbwi. Unakerwa nao kuja public?Raia wanakerwa na maumivu ya mnayofanya sirini.Kwanza naomba ku declare kwamba si member wa chama chochote cha siasa...ila kwa hili la upinzani kuja public kwa kila tukio inakera...ni kama wanawashwa washwa
Si uwe mkweli tuu hujaelewa kinachosemwa.Mkeo anaweza kuwa keshakuchoka sasa hivi makonda wanampakua.Hizo kauli ni mtego wa CCM ili wapate majibu magumnu.chadema hakuna viongozi,kuna wasaini,watu wa masihara na wachekeshaji.
Huyujuzi kasema Magufuli anakandamiza na kuhujumu upinzani,inawezekana vipi mkafanyie vikao vyenu nyeti kama vya kamati kuu ikulu,si Magufuli atadaka siri zenu tu?
Ndio maana hawatafanikiwa kushika dola, chadema, yaani hoja zao ziko reactive sasa hivi! Hawana hoja mpaka sisiemu wafanye kitu ndo wanapata cha kusema.
Jamaa yule sasa ni wazi kuwa ni liability, kapofusha akili zote za ufipa.
maada ya kipuuzi, baada ya kikao yeye alipungukiwa nini , agenda zikikosekana hata mambo ambayo haya kichwa wala miguu vitaongelewa
Inafurahisha hukumu ya mjinga ikisema alieykinyume na jinga ni mjinga.chadema ni moja ya vyama vya kijinga sana Africa