Hakuna hiyo , nyeusi iwe nyeusi na nyekundu iwe nyekundu .Mambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!
Too much sasa...kwa hali hiyo watakuwa wanazima mambo ya muhimu kwa kufanyia vikao Ikuku ili tupate mada kuongelea wiki nzima.Hakuna hiyo , nyeusi iwe nyeusi na nyekundu iwe nyekundu .
Hoja ya Udikteta waliianzisha wao chadema ndo wakafuata sio?Ndio maana hawatafanikiwa kushika dola, chadema, yaani hoja zao ziko reactive sasa hivi! Hawana hoja mpaka sisiemu wafanye kitu ndo wanapata cha kusema.
Jamaa yule sasa ni wazi kuwa ni liability, kapofusha akili zote za ufipa.
Makao makuu ya CCM ni Ikulu?Utaratibu wa kufanyia mikutano ya chama ikulu ni kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi hicho ndicho kigezo number moja
Acha upuuzi ww ikulu ni office ya ummaMambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!
Hakuna Chama chama chenye miliki ya Ikulu. Unaongea ujinga ujinga, bila sababu za msingi.bei ya ikulu ni kushinda uchaguzi mkuu hivyo cdm ikulu mtaisikia kwa bomba
Kama lengo ni kupata hela bila shaka hata vikao vya harusi vitaruhusiwa .Too much sasa...kwa hali hiyo watakuwa wanazima mambo ya muhimu kwa kufanyia vikao Ikuku ili tupate mada kuongelea wiki nzima.
Hivi nyinyi hoja yenu ni wanaccm kukaa pale ikulu? Au ni wanaccm kutumia rasilimali za serikali kichama?Makao makuu ya CCM ni Ikulu?
Matusi ya nini tena?Acha upuuzi ww ikulu ni office ya umma
Period
Kwanza kuna nini cha maana watakachopata kwa kufanyia vikao ikulu. Wachukue madaraka nao watakuwa na wigo mkubwa wa kutumia ikulu.Mambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!
Kwanza kuna nini cha maana watakachopata kwa kufanyia vikao ikulu. Wachukue madaraka nao watakuwa na wigo mkubwa wa kutumia ikulu.Mambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!
Naomba uniwekee kifungu cha Katiba kinachosema hivyoUtaratibu wa kufanyia mikutano ya chama ikulu ni kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi hicho ndicho kigezo number moja
Mkuu wahurumie wazungu wamewapa mabilioni hawana ofisi ya kukutana na wageni wao wazungu Nina taarifa za uhakika kuwa mmoja WA Wafadhili ambaye ni bilionea alipokuja akaambiwa kikao kitafanyika hotelini na viongozi wa chadema aligoma Kata kata akitaka wakutane makao makuu ya chama. Wana chadema wasiopenda ufisadi wakapata email yake wakamrushia picha ya makao makuu akasema whaaaaat! Akafuta ziara na akaaapa haji fadhili vyama vya upinzani afrika ni matapeli wakubwaMambo mengine si ya kuyang'ang'ania sana...
Wapinzani wasiwe watu wa matukio,kila likitokea jambo lishikiwe bango!
Funika kombe mwanaharamu apite...kuna mambo mengi ya kujadili kuliko hilo jambo!