Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama cha siasa kinachotajwa kuwa na wanachama wengi zaidi kuliko chama chochote cha siasa nchini Tanzania (wanachama mil 15), leo kimeingia rasmi kwenye sakata linalozunguka duniani, la kuwaua kwa kuwabambika kesi ya Uhaini wale wote wanaopinga Mkataba wa milele wa kinyonyaji na wa kutia aibu wa Bandari na DP WORLD ya Waarabu .
Kwenye Tovuti yao, CHADEMA kimeitaka mamlaka ya Tanzania kuwaachia huru watuhumiwa wote bila masharti yoyote.
Kwenye Tovuti yao, CHADEMA kimeitaka mamlaka ya Tanzania kuwaachia huru watuhumiwa wote bila masharti yoyote.