Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya M.Kiti wa CDM taifa ni kuwa leo hakutakuwa na maandamano kama ilivyotangazwa awali hapo jana.
Hii ni kutokana namazungumzo ambayo yameanza tangu jana huko Arusha baina ya viongozi wa CDM na wale wa jeshi la polisi wakiongozwa na DCI MANUMBA.
Hivyo wananchi wote wanaombwa kuvuta subira hadi watakapotangaziwa vinginevzo
Hii ni kutokana namazungumzo ambayo yameanza tangu jana huko Arusha baina ya viongozi wa CDM na wale wa jeshi la polisi wakiongozwa na DCI MANUMBA.
Hivyo wananchi wote wanaombwa kuvuta subira hadi watakapotangaziwa vinginevzo