CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

Mahakami jpili, hii sio changa la machi kweli?

Mkuu hii habari nimechelewa kuileta humu baada ya kuona hakuna alieileta nikachukua nafasi.....kama huamini njoo uwanja wa shule ya msingi ushindi mkuu...saa tisa alasiri....na muda ukifika kwa mlio mbali nitawapa picha
 
wakuu kama kawaida cdm imekionyesha uwezo chama cha magamba baada ya mgombea wa sisiemu kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu mikocheni michezo michafu ya sisiemu iliendelea pale mgombea wa cdm aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikua ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi....
Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa sisiemu Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.
Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.
Mahakama imemthibitisha mgombea wa cdm kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
Kwa makamanda tulio karibu na mikocheni....karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi...mida ya saa tisa alasiri...
Nilimwambia MwanaDiwani asiangalie matokeo ya jumla bali afanye analysis ya kile kilichotokea kwenye battle ground.
 
Last edited by a moderator:
nasubiria picha saa tisa mkubwa maana kuna waisioamini wapo wengi huku...
_ila mwaka huu tunawafanyia finishing hawa wezi
 
Hii habari unairusha leo hapa jukwaani, je hiyo hukumu imetolewa lini?

Na je, mahakama imetengua ushindi au kutangaza mshindi mpya? Kwa namna kesi ilivyokaa nadhani mahakama ingeishia kutengua ushindi na kuamuru uchaguzi kurudiwa.
 
wakuu kama kawaida cdm imekionyesha uwezo chama cha magamba baada ya mgombea wa sisiemu kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu mikocheni michezo michafu ya sisiemu iliendelea pale mgombea wa cdm aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikua ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi....
Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa sisiemu Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.
Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.
Mahakama imemthibitisha mgombea wa cdm kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
Kwa makamanda tulio karibu na mikocheni....karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi...mida ya saa tisa alasiri...

Viva viva makamanda, Wanaweza kuua miili yenu kwa mabomu na risasi lakini kamwe hawataweza kuua Ndoto zenu za kuleta mabadiliko ya kweli hapa Tanzania. Freedom Is comming tomorrow, A big up makamanda
 
Hii habari unairusha leo hapa jukwaani, je hiyo hukumu imetolewa lini?

Na je, mahakama imetengua ushindi au kutangaza mshindi mpya? Kwa namna kesi ilivyokaa nadhani mahakama ingeishia kutengua ushindi na kuamuru uchaguzi kurudiwa.

Unfortunately mambo hayakuwa hivyo ikumbukwe kuwa huu ulikua uchaguzi wa marudio baada ya ule wa kwanza kuharibiwa na dada mmoja kada la sisiemu kukamatwa akilazimisha kuingiza karatasi saba(7) za kura kweny sanduku la kura kwa wakati mmoja....sasa kweny uchaguzi wa marudio mambo yakawa namna hii tena kama nilivyoeleza kweny mada....


na huyu dada anapenda sana kujichanganya najua nae leo atakuwepo kweny sherehe hizi za ushindi.....na nikimuona tuu lazima nimuuzishe sura humu ndani
 
Waje na msasani kwa mama mzungu,watu wote hawamtaki lakini kashinda,nako walipiga mabomu hivyohivyo
 
Hii habari unairusha leo hapa jukwaani, je hiyo hukumu imetolewa lini?

Na je, mahakama imetengua ushindi au kutangaza mshindi mpya? Kwa namna kesi ilivyokaa nadhani mahakama ingeishia kutengua ushindi na kuamuru uchaguzi kurudiwa.

Mahakama zina pia option ya kutangaza mshindi kama mshindi kura zimekubali kulingana na ushahidi
 
Mahakami jpili, hii sio changa la machi kweli?



Hana maana uamuzi wa mahakama umefanyika leo Jpili, leo anawaalika kusherehekea ushindi mida ya saa tisa alasiri. Kwa maelezo alivyoyatoa unaona kuna chembe ya "changa"? Kama jambo huliamini hata kama ungekuwepo mahakamani siku ilipotolewa hukumu, bado ungeona changa la macho. Jitahidi kuangalia contents zake zinaweza kukusaidia kujua ukweli au uongo.
 
Mwenge waligeuza matokeyo na kusoma mwenyekiti wa ccm kashinda polisi wakakimbia na matokeo sijuwi imeisha vp mwenye kujuwa atujuze
 
Follow the trendlines not the headlines

ujumbe hubebwa na kichwa cha habari na ndiyo maana katika barua za kiofisi kuna heading before the subject. na pia siyo kila kitu ni cha kuchangia. ukifata mkumbo utachangia na ambavyo havifai na hatma yake wewe utakuwa zoba
 
Mkuu hii habari nimechelewa kuileta humu baada ya kuona hakuna alieileta nikachukua nafasi.....kama huamini njoo uwanja wa shule ya msingi ushindi mkuu...saa tisa alasiri....na muda ukifika kwa mlio mbali nitawapa picha



nakupongeza kwa kuleta hiyo taarifa maana hata mimi nilipatwa na kigugumizi kuhusiana na hiyo hukumu. ila nina swali unaweza kutupia nakala ya matokeo halisi yalivyokuwa.
 
Back
Top Bottom