CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

Chadema ni Mpango wa Mungu tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
 
nakupongeza kwa kuleta hiyo taarifa maana hata mimi nilipatwa na kigugumizi kuhusiana na hiyo hukumu. ila nina swali unaweza kutupia nakala ya matokeo halisi yalivyokuwa.

kwa sasa na nina majukumu ya kikazi mkuu kwa wiki hii nitakua bize sana naogopa ata kuahidi....ila nikipata nitafungua thread yake ili uone
 
Vipi kuhusu mwenge kijijini?ambapo ccm waliiba ushindi wa cdm?pale mwenge kuna mwizi mmoja anaitwa kesi kazi yake ni kunyanyasa wafanya biashara ndogo ndogo
 
Mkuu saa kumi na nusu sasa, vipi makamanda sherehe hazijaanza au hao ma-escrow wameleta askari? Ulituahidi picha!
 
Mahakami jpili, hii sio changa la machi kweli?


gollocko;
Usiangalie siku wala saa angalia mantiki ya uzi. Cha kuuliza au kutaka kuthibitishiwa ni kwamba kama kuna mtu yeyote wa Mikocheni B anayelijua hili sakata halafu akaona kuwa ni uongo basi atujuze. Vinginevyo, hata kama uamuzi ulifanyika Ijumaa, mpaka hiyo process ya kumtangaza ifanyike ndipo mkuu kauleta huu uzi. Tunachoshangilia ni maumivu wanayo pata magambas only. Huko kwingineko tuleteeni habar kuwa miiba inawachoma magambas mpaka hiyo niddle iwakoleee
 
Kinana anaenda kushukuru kwa kupigwa chini kila kona!kudadeeki na bado!wakuu bila kutumia nguvu haswa kupambana na POLICECCM haya mafisadi yatang'ang'ania madaraka!
 
Hiyo hukumu imetolewa na mahakama ya hakimu mkazi kinondon iloketi lini???
 
Back
Top Bottom