Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,136
- 7,655
Katika uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa kumi na moja,manispaa ya Shinyanga,CHADEMA,wamefanikiwa kupata viti 7 kati ya 11,na CCM,wakiambulia vinne!
Mitaa hiyo ni:-
1:Lubaga Farm
2:Mbuyuni
3:Magadula
4:Masekelo
5:Mwamala
6:Luhende
7:Chamaguha (Nyumbani kwa Mwenyekiti wa CCM,Wilaya).
CCM,imeshinda mitaa ya:-
1:Old Shinyanga
2:Bushushu
3:Lubaga
4:Bondeni(ambako,askari walifyatua mabomu ya machozi,baada ya kutokea vurugu,baada ya kutangazwa mgombea wa CCM,kushinda.)
Uchaguzi huo,uliofanyika jana,ilikuwa kujaza nafasi zilizokuwa wazi,ikiwa ni pamoja na mitaa iliyoongezwa,baada ya kugawanywa baadhi ya mitaa.
Mitaa hiyo ni:-
1:Lubaga Farm
2:Mbuyuni
3:Magadula
4:Masekelo
5:Mwamala
6:Luhende
7:Chamaguha (Nyumbani kwa Mwenyekiti wa CCM,Wilaya).
CCM,imeshinda mitaa ya:-
1:Old Shinyanga
2:Bushushu
3:Lubaga
4:Bondeni(ambako,askari walifyatua mabomu ya machozi,baada ya kutokea vurugu,baada ya kutangazwa mgombea wa CCM,kushinda.)
Uchaguzi huo,uliofanyika jana,ilikuwa kujaza nafasi zilizokuwa wazi,ikiwa ni pamoja na mitaa iliyoongezwa,baada ya kugawanywa baadhi ya mitaa.