CHADEMA yasambaratika Sengerema

CHADEMA yasambaratika Sengerema

Hahaa....waende na nyie mpate watu ...kidigo msifilisike....
 
kwel nyie n malmbuken, kupata 2 tuu ndo mnafurah..
mbna sisi tumepokea zaid ya wanachama 2000000p lakn tumetulia?
kaa chin ujtadhimin kabla t
ya kuleta uzi
 
Aliekua mgombea wa ubungo kwa katika kura za maoni ndugu tabasamu amerejea ccm pamoja na mwenyekit wa chadema sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza

Hizo ni bangi tu zinakusumbua ona ulivyoandika

attachment.php
 
Aliekua mgombea wa ubungo kwa katika kura za maoni ndugu tabasamu amerejea ccm pamoja na mwenyekit wa chadema sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza

Waongo mlisema Machemli amehama Act na jana alikuwepo kwenye mkutano wazushi nyie lete picha
 
Waongo mlisema Machemli amehama Act na jana alikuwepo kwenye mkutano wazushi nyie lete picha
Nadhani waongo ni hawa CHADEMA ambao walizusha kuwa Sumaye anataka kuhamia CHADEMA
 
Aliekua mgombea wa ubungo kwa katika kura za maoni ndugu tabasamu amerejea ccm pamoja na mwenyekit wa chadema sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza

Jana umeshuhudia wanachama wangapi walio hamia cdm kutoka ccm?tipa ya tani tatu ilijaa kadi za ccm zilizo rudishwa jana,hivyo hiyo ulio iona ni pigo kwa cdm na kuiandika kishabiki eti cdm yasambaratika ni sawa na kilo moja ya chumvi kwenye bahari ya Hindi,pole sana kwa kuendelea kuchechemea na jiandae kutawaliwa na rais lowasa
 
Hiyo ndo CCM. Utaipenda tuuuu. Mtaisoma namba kazi ndo imeanza.

Mbona mmechelewa sana mnaanza leo wakati wenzenu ndio wanafunga mahesabu wanasubiri kuapishwa kuingia ikulu?
 
Jana umeshuhudia wanachama wangapi walio hamia cdm kutoka ccm?tipa ya tani tatu ilijaa kadi za ccm zilizo rudishwa jana,hivyo hiyo ulio iona ni pigo kwa cdm na kuiandika kishabiki eti cdm yasambaratika ni sawa na kilo moja ya chumvi kwenye bahari ya Hindi,pole sana kwa kuendelea kuchechemea na jiandae kutawaliwa na rais lowasa

Neno sahihi ni "makapi"
 
Back
Top Bottom