CHADEMA yapeleka majeshi ya ardhini Igunga

CHADEMA yapeleka majeshi ya ardhini Igunga

Mheshimiwa Zitto, mikakati yako hapo Igunga sidhani kama Mzee Mangula anaweza akaambulia chochote sana sana atosoma tu kwa shido tena kwa mbaaali sana Jahazi letu la kampeni, MV CHADEMA, likishapita kwa mbali sana.

Hakika CCM watawatambua uzuri utamu wa CHADEMA CUBS (BAVICHA na vijana wa vyuo vikuu ) hapo Igunga.
 
Magwanda kweli vilaza hata wa lugha, hiyo heading ilitakiwa iwe ' Zitto on his way to Igunga'
Nyambafu,kaa kimya,alichokosea nini na ulichopatia wewe kitu gani? Ujumbe umefika wewe unaleta ujuaji wa kinyaninyani.
 
Magwanda kweli vilaza hata wa lugha, hiyo heading ilitakiwa iwe ' Zitto on his way to Igunga'

toa maoni ,yako hacha kutukana kama unaona mpangilio wa habar mbovu kwa nn uchangie?tumia busara
 
Magamba ndo hakuna hata mmoja mwenye akili
Hamtaki hata kusifiwa..
Hawa watu Zitto na Mnyika wapo composed..wanaijua siasa!
Sijawahi kuwaona kwenye vurugu za kijinga zinazofanywa na wanachadema. Maandamano ya siyo na tija huwezi kuwakuta wakishiriki.
Kudos Zitto & Mnyika.
 
@REJAO-Vurugu hawaendi wao wanaenda kwenye harakati kama Lisu au kumkwida D.C nayo ni fujo? Kama ndivyo basi fujo zitakua nyingi hadi tuwatoe madarakani.
 
Zitto na Mnyika ndio watu pekee wenye akili Chadema nzima!
Wengine wote kuanzia katibu wao VILAZA
mail
 
Hapo chacha, kazi hiyo. Wasiopenda CDM inye zinachezacheza.
 
Dogo wa Tunduma yuko songea uchaguzi mdogo wa diwani anasimamia kule

unajua watu wamejisahau kuwa kuna kata zaidi ya 20 nazo tunazihitaji ndiyo maana makamanda wengine hawapo hapo igunga...
 
Magwanda kweli vilaza hata wa lugha, hiyo heading ilitakiwa iwe ' Zitto on his way to Igunga'

Jamaa tangu nilipotakakutaja sehemu unayofanya kazi watu wakaamua kutoa picha za watu wakaja na mtindo huu wa jina tu tutakuumiza wewe. hakuna jipya wewe ni Mwita25 huna nyimbo watu wameshakujua na unatumiwa sasa pale unafanya nini kama unakubali kutumiwa hivi watu unawasaidiaje sasa pale. tutataja na jina lako la ukweli ukijichanganya
 
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema mara baada ya kugundua kuendelea kudhoofika kwa CCM huko igunga CHADEMA imeamua kupeleka kuanzia leo,Jumatano kikosi maalum cha kampeni.Jeshi hili litaongozwa na ZITTO KABWE,GODBLESS LEMA,JOHN MNYIKA NA HALIMA MDEE.Wakuu hapa magamba kwisha kazi!! SOURCE:-MWANAHALISI Sept 21
na wao wanajipanga kupeleka ZANA za maangamizi yaani - Nape, Olesendeka, Sitta, Mama Kilango, January Makamba na Mwakyembe - ha ha ha ha

 
Jamani shibuda anawezakuwa kabadilika na aende pia

NO, asiende huko Igunga wala asipewe nafasi ya kusimamia mambo ya muhimu katika uchaguzi hata chamani. Awemo tu kama boya linalosubiri meli izame ndipo litumike.
 
Kunazidi kupambazuka pamoja na vifaa vyote hivyo hata watumie nini ccm kwisha habari yao, na kura haziibiwi kwa timu iliyo huko. Nashangaa tu polisi wanasema kuwa kuwa na kadi za kuopigia kura zisizo zako si kosa? Hivi mtu akikutwa na kitambulisho si chake naye hana kosa? Nataka nisaidiwe hili maana voters id ndiyo kitambulisho rasmi cha serikali!
 
Ushindi unakuja kwa kufanya kampeni sio kwa utafiti
 
Mungu awajalie wote makamanda wetu wawe na amani na uzima. Wazidi kusonga mbele.
 
Hili jukwaa sasa limekuwa kama kanisa la kilokole la chadema,waumini wanapeana moyo kwa vitu ambavyo ni impossible kutokea! Utakuta muuza maji rejareja anaandika ombi la gari aina ya benz by the end of the year! Chadema wangekuwa na nguvu kama hizo wanazotaka watu waamini wangeshamfukuza shibuda zamani,wanashindwa!!!why? Slaa anaogopa posho yake ya mil.7 kwa mwezi itapungua!! TO HELL WITH CHADEMA, CHAMA CHA WAHUNI,WAVUTA MISUBA AND WEVI WA WAKE ZA WATU
 
bado tunasubiri kwa hamu majimbo ya magamba mawili yaliyo bak Ccm!
 
Hili jukwaa sasa limekuwa kama kanisa la kilokole la chadema,waumini wanapeana moyo kwa vitu ambavyo ni impossible kutokea! Utakuta muuza maji rejareja anaandika ombi la gari aina ya benz by the end of the year! Chadema wangekuwa na nguvu kama hizo wanazotaka watu waamini wangeshamfukuza shibuda zamani,wanashindwa!!!why? Slaa anaogopa posho yake ya mil.7 kwa mwezi itapungua!! TO HELL WITH CHADEMA, CHAMA CHA WAHUNI,WAVUTA MISUBA AND WEVI WA WAKE ZA WATU

Mawazo yako yanaonyesha uwezo wako wa kufikiri, pole sana.
 
acheni kamanda aende,acha mpiganaji aende kuwaeleza jinsi alivyopigania haki za migodi na wananchi wanaozungukwa lakini ccm kwa dhuluma na kutumia wingi wao wakapiga kura ya kumfukuza bungeni!
ngoja kamanda aende kuwaeleza namna gani Dalali Kafumu alivyodalalia migodi ikiwemo ya Igunga!aende kuwaeleza jinsi gani kafumu ameshiriki kuwakandamiza wachimbaji wadogo wakiwemo wa Igunga na jiran zao Nzega wakati akiwa kamishna wa madini
 
Back
Top Bottom