Na haijawahi kutokea mtu akawa na njaa na akawa na uwezo was kufikiri vizuri. Ebu chukulia mfano BAWACHA wanavyowakomalia akina Mdee watoke Bungeni wakati sio wanachama wao. Unafikiri ni nini kama sio njaa!! Ahahahahahahah!!!!
Huyu atapewa uwaziri na kumwamrisha Bashiru we vuta subira utaona jinsi chadema ina watu wenye akili. Huko ccm mmejaa mabumunda lazima mchukue wenye akili ambao wako chadema