assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
TAARIFA TOKA GEITA NI kuwa genge la UKAWA wameshindwa kuelewana kugawana mitaa ivo kuweka wagombea mitaa yote
KIBAYA ZAIDI kunawenyeviti wawili wa CUF wamepenyezewa noti ili wajitoe mmoja ni RAMADHANI HAMISI WA KATA YA NYAMALOMBE Ambae amerejesha fomu za kugombea ujumbe kupitia CHADEMA wakati alisharudisha fomu za kugombea uenyekiti kupitia CUF. MWINGINE NI BWN AYUBU. BD INTELIJISIA AT WORK.
KIBAYA ZAIDI kunawenyeviti wawili wa CUF wamepenyezewa noti ili wajitoe mmoja ni RAMADHANI HAMISI WA KATA YA NYAMALOMBE Ambae amerejesha fomu za kugombea ujumbe kupitia CHADEMA wakati alisharudisha fomu za kugombea uenyekiti kupitia CUF. MWINGINE NI BWN AYUBU. BD INTELIJISIA AT WORK.