chagadema ni janga
mkuu soma vizuri
mkuu umedai huna chama lini nilikuambia mm ninachamaNimesoma vizuri sana na nimegundua ni upuuzi tu ndio maana nikatoa hayo maoni. Lkn uzuri wengine wameshakujibu vizuri. Hata hivyo, wewe sio msemaji wa UKAWA, kwa nini kila siku unaleta habari za upuuzi zihusuyo UKAWA? Kwani UKAWA ni chama cha siasa? Kwani UKAWA ndio wako madarakani? Lete threads zihusuyo jinsi chama tawala kinavyofanya jitihada kuleta maendeleo ya Wananchi. Tueleze ni jinsi gani chama chenu cha CCM (maana mie sina chama) kinapambana kuhakikisha WEZI na MAFISADI walioko ndani ya CCM, serikali na washirika wake hawaibi tena mali ya umma kama walivyofanya kwenye ESCROW!
TAARIFA TOKA GEITA NI kuwa genge la UKAWA wameshindwa kuelewana kugawana mitaa ivo kuweka wagombea mitaa yote
KIBAYA ZAIDI kunawenyeviti wawili wa CUF wamepenyezewa noti ili wajitoe mmoja ni RAMADHANI HAMISI WA KATA YA NYAMALOMBE Ambae amerejesha fomu za kugombea ujumbe kupitia CHADEMA wakati alisharudisha fomu za kugombea uenyekiti kupitia CUF. MWINGINE NI BWN AYUBU. BD INTELIJISIA AT WORK.
mkuu umedai huna chama lini nilikuambia mm ninachama
TAARIFA TOKA GEITA NI kuwa genge la UKAWA wameshindwa kuelewana kugawana mitaa ivo kuweka wagombea mitaa yote
KIBAYA ZAIDI kunawenyeviti wawili wa CUF wamepenyezewa noti ili wajitoe mmoja ni RAMADHANI HAMISI WA KATA YA NYAMALOMBE Ambae amerejesha fomu za kugombea ujumbe kupitia CHADEMA wakati alisharudisha fomu za kugombea uenyekiti kupitia CUF. MWINGINE NI BWN AYUBU. BD INTELIJISIA AT WORK.
TAARIFA TOKA GEITA NI kuwa genge la UKAWA wameshindwa kuelewana kugawana mitaa ivo kuweka wagombea mitaa yote
KIBAYA ZAIDI kunawenyeviti wawili wa CUF wamepenyezewa noti ili wajitoe mmoja ni RAMADHANI HAMISI WA KATA YA NYAMALOMBE Ambae amerejesha fomu za kugombea ujumbe kupitia CHADEMA wakati alisharudisha fomu za kugombea uenyekiti kupitia CUF. MWINGINE NI BWN AYUBU. BD INTELIJISIA AT WORK.
Wote ni ukawa shida yako nini ?!! hii ni sawa na kutoa fedha mfuko wa kulia na kuweka wa kushoto. We tulia ESCROW iwaangamize.mkusanyiko wa chagadema na waliberali inabidi kuwa roho ya paka kuukubali.
Chadema chama haramu kweli hakifai kuwa miononi mwa vyama vya siasa.
Wote ni ukawa shida yako nini ?!! hii ni sawa na kutoa fedha mfuko wa kulia na kuweka wa kushoto. We tulia ESCROW iwaangamize.
........Acha kujaza saver we dogo! Ebu nenda Facebook kule mashoga zako wanakuita.mkuu soma vizuri
Chadema chama haramu kweli hakifai kuwa miononi mwa vyama vya siasa.