johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Amechelewa dirisha dogo la usajili lilifungwa 31/12/2017, mwanasiasa wa mwisho kusajiliwa alikuwa Wema Sepetu kutoka Chadema ambaye baada ya sintofahamu fulani lakini alifanikiwa kusajili kabla dirisha halijafungwa!